darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,745
- 16,983
Ni Jambo zuri kulipa kodi....wachaga wengine wa Kilimanjaro na sehemu nyingine waige mfano
Ni Jambo zuri kulipa kodi....wachaga wengine wa Kilimanjaro na sehemu nyingine waige mfano
Ze lakiest mazafaka aloooo weeeeMme wake Doreen kama alitokea kwenye rumba bas anaingia kwenye list the luckiest mazafakaz
Dah kuhusu daimond naona ni kweli maana kila mda naona ana nuka mik*ma k*ma tuvijana wachache sana ukilinganisha wa watu wanaoangamia kwa kukosa nguvu za kiume kwa kula kuku wa kisasa[sitaji kampuni], kwa kula ice cream,[sitaji kampuni], viriba tumbo kwa kula tambi za yule tajiri namba moja tanganyika,.kwa kukosa hamu ya tendo kutokana na wanawake wacheza muziki kukaa uchi hivyo libido za kiume kushuka , etc.
Vijana wangapi wanaangamia kwa ukimwi kwa kumuiga diamond kupiga kila demu anayekata kiuno kwenye shoo zake? umewahi kukemea hilo ama Diamond ni rol mode wa dada zako?
Kupanga ni kuchagua, dont drink and drive na bado kuna parking baa , hizo parking ni za magari ya wanywa juisi?
Safi hoja kwa hoja ,Jino kwa Jinovijana wachache sana ukilinganisha wa watu wanaoangamia kwa kukosa nguvu za kiume kwa kula kuku wa kisasa[sitaji kampuni], kwa kula ice cream,[sitaji kampuni], viriba tumbo kwa kula tambi za yule tajiri namba moja tanganyika,.kwa kukosa hamu ya tendo kutokana na wanawake wacheza muziki kukaa uchi hivyo libido za kiume kushuka , etc.
Vijana wangapi wanaangamia kwa ukimwi kwa kumuiga diamond kupiga kila demu anayekata kiuno kwenye shoo zake? umewahi kukemea hilo ama Diamond ni rol mode wa dada zako?
Kupanga ni kuchagua, dont drink and drive na bado kuna parking baa , hizo parking ni za magari ya wanywa juisi?
Hizo tuzo wanapewa wengi...bonite,tpc,serengeti brew,harsho yeye muuza pombe ya buku awazidi ulipaji kodi...snowcrest sio mali yake alishindwa kulipa mkopo ikauzwa mda mrefu tu
Wilfred Tarimo siyo jina geni kwa watu wa kaskazini hasa kutokana na baba yao mzazi mzee Lucas Tarimo kuwa na utajiri kumkaribia Reginald Mengi.
Mtoto wake aitwaye Wilfred ambaye sasa ni mmiliki wa Snow Crest lakini pia kampuni ya Dereck Inc Co limited na wanawe na mkewe kwa pamoja yaani WILFRED LUCAS TARIMO, DEDRICK WILFRED TARIMO, DOREEN WILFRED TARIMO , MRS. IRENE WILFRED TARIMO leo amepewa tuzo ya mlipakodi mkubwa moani kilimananjaro, ikumbukwe mwanaye aitwaye Doreen kwenye send off alipewa gari mbili zote zero kilometre, land cruiser milioni 450 na rav 4 ya milioni 150 pamoja na ghorofa shanty town ya thamani ya Tsh. 1.9 Bilioni.
Ngoja tunyamaze ovaaJamaa hana machawa
Maana watu kama giesm wana machawa kibao
Ova
Kwnn siwezii waskia🤔mbn baba zao walikua wanaskikaWArithi wa hao watu wapo busy na biashara na hawana muda kama baba zao.Utajiri kwa warithi umwzidi na ulioachwa na hao ila huwezi wasikia.
Yani lucas hakua hata kwenye top 20 ya matajiri moshiHabari za tajiri muulize masikini!!! Aliyekwambia Lucas alimkatibia Mengi ni mjinga kama wewe!!!
Sijataja kabila nimetaja Kanda ya kaskazini......
Banana Investment ltd.Sio huyu ? Kampuni inayotengeneza banana inaitwaje ?
Hakuna ushujaa wowote kwenye kufanya uovu.Nina mjibu yule jamaa ambaye baba yake ni shujaa kwa kuiba mali za umma
Ashasoma hapaHakuna ushujaa wowote kwenye kufanya uovu.
Mwambie hilo.
Yuko namungoWAchaga na mpira na 0-0.
Alex Massawe alicheza Mbeya siku hizi sijui yu wapi, hawana mambo ya michezo .
Wakina Harsho walijipanga Sana,Kule mdogo wao hill water anakimbiza huku Fresho(marehemu bro wao) nae Yuko njema.Hizo tuzo wanapewa wengi...bonite,tpc,serengeti brew,harsho yeye muuza pombe ya buku awazidi ulipaji kodi...snowcrest sio mali yake alishindwa kulipa mkopo ikauzwa mda mrefu tu
Au ameingia mkataba na kampuni hiyo ya kofia, maana kama sivyo basi atakuwa amewapaisha bila malipo yoyote, fala sana
Umeanza utopolo Wako,vipi UNAMJUA mmiliki WA Eckenford Tanga university?Angalia current status , wachaga walikuwa Mengi na shirima na wameshakufa...Huyo still hana jipya wa kawaida sana .
Hata taasisi yetu ilishachukua mwajiri mzuri na mtunza mahesabu mazuri ila mishahara tunajua wenyewe.
View attachment 2833426