Nunua Toka UK
JF-Expert Member
- Apr 17, 2023
- 303
- 587
Bilionea wa Zimbabwe Strive Masiyiwa anayemiliki Cassava Technologies ametangaza kushirikiana na Nvidia kujenga data centre ya kwanza barani Afrika.
Cassava Technologies inapanga kutumia teknolojia ya kisasa ya AI ya Nvidia ifikapo Juni 2025 nchini Afrika Kusini.
Pia wamepanga kujenga data centres nyingine Misri, Kenya, Morocco, na Nigeria.
Soma zaidi hapa: https://businesstech.co.za/news/tec...-a-first-of-its-kind-factory-in-south-africa/