jamaa wa dawasco alikwenda kwa b mkora kudai bili ya maji mambo yakawa kama ifuatavyo:
MTOTO: mama kuna baba yupo hapo nje ameleta bili ya maji
BI MKORA: mwambie kama hiyo bili ni maji ya mvua anisubiri nakuja kwa sababu jana ilinyesha LAKINIIIIIII
kama ni ya maji ya dawasco muulize kama amevaa element.............
HE jamaa kusikia vileee mdogo mdogo kama sio yy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.