Pure nomaa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 1,158
- 1,382
Wakubwa nakumbuka enzi zile wakati bado nipo O&A Level kulikuwa na walimu wa ukweli wa tuition,waliokuwa wanapigisha mapindi ya maana hasa kwa wale tuliosoma shule za serikali,kwa tuliosoma comb za kifo(science)CM,PCB,CBG na EGM majina haya si mageni kwetu :MUDDY,HIDDEN,MBUGA,MWALAMI,MGOTE,MTIGA,nakumbuka pindi la saa moja ilikuwa sh 100,Je unawakumbuka walimu wako wa tuition?