Bila ugawaji wa dawa za ARV huu UKIMWI ungeshaisha miaka mingi sana

wakuu narudia tena kama arv zisingekuwepo basi huu ukimwi ungeisha wenyewe.

Kwavipi?

Wale waliokwishaupata wangeenda mbele ya haki ila baada ya apo kungekuwa na tahadhari ya kufa mtu kwa hao ambao wangebaki.

Hivo ndio akili ya binadam ilivyo. akiona hatari mbele yake basi na tahadhari inakuwa kubwa.

Hiyo ingemaanisha maambukizi yangekuwa machache sana au hata yangeisha kabisa.

Leo hii maambukizi bado yapo kwa sababu watu hawamuoni huyo mgonjwa anayeumwa na ndomaana hawauogopi tena ukimwi matokeo yake wanaishia kuupata.
Arvs Huwa zinapynguza viral load hivyo kupunguza uwezekano wa mwathirika kueneza vvu Kwa urahisi Kwa wengine,hata kama tukiacha matumizi ya arvs ukimwi hautakwisha Kwa kuwa wapo na HIV lakini hawaonyeshi dalili yoyote ya kuumwa Wala kufa mapema,watu kama Hawa ni wachache lakini hawaathiriwi na huo ugonjwa
 
Hahahahah, aaagh wapi, hapo ndipo wanapotumaliza...
Nikweli mzee kwani hujawahi kushuhudia kwenye ndoa mmoja anao mwingine hana na watoto hawana? Mbona ni wengi sana...nchi za wenzetu wamefanikiwa kuupunguza sana kwaajili ya kuzingatia hizo dawa vizuri. Lakini tz waathirika hawasemi ukweli hilo nalo ni tatizo wenzetu kumuambukiza mtu makusudi ni kosa.
 
Naomba kuuliza kwani huko ughaibuni hakuna mawaya?

Maana wakija huku wanaliwa bila condom na ujinga mwingi unafanyika kwao kuliko sisi
 
Arv nadhani hazitolewi bure, kuna vigezo na tukizingua misaada inakatwa. Mambo ya demokrasia, uhuru, ushoga n.k Huko tuendapo Hiv itakuwa na dawa au chanjo.
Wangefanya ivo unafikiri ni nchi gani kati ya hizi za dunia ya tatu ingetoboa?

Kwa sasa wanatengeneza wahitaji kwanza adi wawe wengi hlf ndo watakuja na ayo masharti
 
Kama kusingekuwa na ugawaji wa hizi dawa za kufubaza makali ya virus ni wazi vizazi vya leo vingekuwa vinausoma UKIMWI kwenye maandiko kama vile leo hii tunavyosoma habari za sulua, tauni na magonjwa mengine yaliyobaki kuwa historia kuwa yaliwahi kutokea siku za nyuma.

Wakati umefika sasa waafrika na sisi tuamke na kuwa suluhu kwa matatizo yetu.

Mm naona huyu mzungu anatupoteza kwa maslahi yake binafsi.

HIV ni halisi tujikinge wandugu.
Tutambue tu kila kitu ni mfumo (system).

Ukiwa nje ya mfumo utakuwa na muda mfupi wa mateso na kufariki. Ukiwa ndani ya mfumo utakuwa na muda mfupi wa anasa na kufariki kisha mateso ya kudumu.


ZINGATIA: hakuna kufa mara mbili. Ukifa umekufa. Wana isimu wanaita kufariki.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ARV's zisingekuwepo hakuna ambae angebaki salama muda wote watu wangekua kwenye hatari ya kuukwaa hata bila kufanya zinaa, maana tuna share vitu vingi sana
Ngwengwe ni kwere
 
Naomba kuuliza kwani huko ughaibuni hakuna mawaya?

Maana wakija huku wanaliwa bila condom na ujinga mwingi unafanyika kwao kuliko sisi
Uko wanao ila ni kwa kiasi kidogo sana.

unafikiri wapi uko ulaya utatomber mtu bila kondom?

ukigundulika umeambukiza ni kesi nzito

gharama za matibabu zipo juu na hizi ARV wanalipia sio bure kama apa. ivo vyote vinawaongezea umakini.
 
Sasa hayo magonjwa ulivyotaja yamepotea yenyewe bila dawa au chanjo za mzungu?
waafrika tuna dawa nyingi nzuri za asili
ni vile hatujazipa kipaumbele tu tumechagua kusimama na mzungu, sio mbaya lakn
 
Kama kusingekuwa na ugawaji wa hizi dawa za kufubaza makali ya virus ni wazi vizazi vya leo vingekuwa vinausoma UKIMWI kwenye maandiko kama vile leo hii tunavyosoma habari za sulua, tauni na magonjwa mengine yaliyobaki kuwa historia kuwa yaliwahi kutokea siku za nyuma.

Wakati umefika sasa waafrika na sisi tuamke na kuwa suluhu kwa matatizo yetu.

Mm naona huyu mzungu anatupoteza kwa maslahi yake binafsi.

HIV ni halisi tujikinge wandugu.

Unapoint sema watu hawatakuelewa
Jiulize kwanini ulaya mbilikimo wachache
Na kule China watu wavivu ni kama hakuna

Kusingekuwa na dawa
Wangekufa wengi na hao wachache ndo wangepona
Ingewezekana Africa nzima wangebaki hata
Million 100 tu
Selection ingefanya kazi na ingeacha machungu makubwa mno
 
Wangefanya ivo unafikiri ni nchi gani kati ya hizi za dunia ya tatu ingetoboa?

Kwa sasa wanatengeneza wahitaji kwanza adi wawe wengi hlf ndo watakuja na ayo masharti
Habari zilizopo duniani kuhusu HIV ni majaribio ya chanjo.
 
Back
Top Bottom