Bila Rais kuwepo uwanjani Simba haiwezi kuipiku Yanga hata ikishinda mechi.

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,307
12,604
Sijasikia kama na Rais wetu ndiye atakuwa tena mgeni RASMI fainali ya FA Kigoma. Simba ilifungwa mbele ya mkuu wa nchi ambae hatakuwepo kwenye mechi Kigoma. Hii Itayafanya maumivu ya kufungwa yasiwe makubwa sana kama ya tarehe 3 July. Sijui kama hili wanalifikiria
 
Sishangai kwasababu akili zenu mashabiki wa Yanga ni fupi fupi,hamuwazii ubingwa mnawazia Rais kuona Yanga wanavyoifunga Simba,umuhimu wa TK master ni kumpiga chenga Onyango tu,mnashangilia kununua basi la TATA,yani hayo mambo ndo ubingwa kwenu.
Kaka sisi tangu Manji avurugwe na akina Makonda Yanga iliishi kwa kutembeza bakuli na TFF ikawa Mali ya Simba. Huo ndio uliokuwa mweleka wao Yanga, hakuna kingine. Hata hivyo kumkong'ota Simba mbele ya Rais ni heshima kubwa inayosambaza maumivu makali kwa mpinzani. Ndio maana huko Simba hakuko shwari hata kidogo mpaka sasa
 
Kaka sisi tangu Manji avurugwe na akina Makonda Yanga iliishi kwa kutembeza bakuli na TFF ikawa Mali ya Simba. Huo ndio uliokuwa mweleka wao Yanga, hakuna kingine. Hata hivyo kumkong'ota Simba mbele ya Rais ni heshima kubwa inayosambaza maumivu makali kwa mpinzani. Ndio maana huko Simba hakuko shwari hata kidogo mpaka sasa
Kile kipigo ni upupu mkali ndani ya Simba
 
Dah mfano ingekuwa usiku ingekuwa safi sana, wakiwa wameenda kuangalia mpira mimi nazama ndina nakwala kila kitu mpaka vijiko
Kigoma hakuna miundombinu ya kucheza mechi usiku mechi kama hii, hata hiyo mchana wana wasisi kama itaisha salama.
 
Kuhusu kuwaza ubingwa usiwaze bado tunasikilizia hukumu ya ya kesi baina yetu na Morrison
 
Kaka sisi tangu Manji avurugwe na akina Makonda Yanga iliishi kwa kutembeza bakuli na TFF ikawa Mali ya Simba. Huo ndio uliokuwa mweleka wao Yanga, hakuna kingine. Hata hivyo kumkong'ota Simba mbele ya Rais ni heshima kubwa inayosambaza maumivu makali kwa mpinzani. Ndio maana huko Simba hakuko shwari hata kidogo mpaka sasa
Malengo ya timu sio kushinda mbele ya Rais,wewe haujui mpira.
 
Haya sasa kamchukueni huyo mkuu wanchi awe kombe lenu sasa.
Kombe ni heshima lakini heshima zaidi ni kupata fursa ya kushiriki mashindano ya kimataifa. Yangà itashiriki pia msimu huu. Hivyo tabu inabaki palepale ya kufungwa mbele ya watu muhimu kitaifa.
 
Kombe ni heshima lakini heshima zaidi ni kupata fursa ya kushiriki mashindano ya kimataifa. Yangà itashiriki pia msimu huu. Hivyo tabu inabaki palepale ya kufungwa mbele ya watu muhimu kitaifa.
Ni kawaida kujifariji. Unajua kwanini wachezaji wa Yanga walikuwa wanavua medali baada tu ya kuvishwa? Kwa sababu ya aibu. Mlitufunga mbele ya rais sawa.. Lakini mliona mtu wa Simba akilia machozi? Tarehe 25 Nugaz alilia machozi
 
Back
Top Bottom