Habari zenu wana JF, nimeenda kuripoti kwenye kituo cha kazi ijumaa iliyopita. Hiyo kazi nimeipata kupitia Utumishi. Huyo Afisa utumishi anataka leaving certificate ya A level na O level.
Kasema sitaingizwa kwenye payroll bila hizo leaving certificate. Mimi nimesahau nilipoweka.
Je nikienda Secondary nilizosoma watanisaidia?
Ushauri wako mhimu sana nashukuru.
Kasema sitaingizwa kwenye payroll bila hizo leaving certificate. Mimi nimesahau nilipoweka.
Je nikienda Secondary nilizosoma watanisaidia?
Ushauri wako mhimu sana nashukuru.