Bila living certificate siingizwi kwenye payrol

Bila living certificate siingizwi kwenye payrol

Vyeti original ninavyo na nimemuonyesha ila anataka hiyo leaving certificate

Mmmh leaving haiusiani kabisa na kuingizwa kweny paylo.. Huyo analake jambo tuu... Wewe si bintiii
 
Nitajitahidi niipate maana kazi zenyewe kuzipata ni issue.
 
Watumie watu wengine ambao tayari wapo kwenye payrol wakupe way out, hako ni kamtego tu jamaa kakuwekea, mbona kwenye maelekezo ya atachments znazohtajika leavings hazipo, hushangai! Na sijawah kuckia wewe ndo wa kwanza. Fight huyo afisa utumishi ni corrupt!
 
Habari zenu wana Jf. Nimeenda kuripoti kwenye kituo cha kazi ijumaa iliyopita. Hiyo kazi nimeipata kupitia Utumishi.Huyo Afisa utumishi anataka leaving certificate ya A level na O level. Kasema sitaingizwa kwenye payroll bila hizo leaving certificate. Mimi nimesahau nilipoweka. Je nikienda Secondary nilizosoma watanisaidia. Ushauri wako mhimu sana nashukuru.

Jambo rahisi sana,nenda kwenye shule uliyosoma waeleze then watakuambia ulipie gharama za utengenezaji ili upatiwe mpya.
 
Mkuu hayo ma-leaving certificate yanachapwa, kuna shule moja imepewa kibali cha kuzichapa, hivyo kama ilikosewa unaipeleka iliyokosewa kwa kibali cha shule uliyotoka wanaichapa na typwriter then unaipeleka ikagongwe muhuri, kama hayo makitu yanachapwa kitaa ujue yanapatikana kirahisi sana.
 
Vyeti original ninavyo na nimemuonyesha ila anataka hiyo leaving certificate

Kama original umempa still anataka living basi anataka kitu kidogo huyo, hana lolote
 
Huyo afisa utumishi ni mwanamke na mimi mwanamke. Kuna wenzangu waliotangulia kureport kawaambia the same kuwa anahitaji leaving certificate. Nimeulizia wenzangu walioreport Halmashauri zingine hakuna ukaguzi wa leaving certificate ni vyeti original tu sasa sijui yeye katoa wapi hiyo sheria.
 
Nisaidie pia nikiona anazidi kunisumbua nifuate sheria gani. Maana kazi nimeshaipata ila huyo afisa utumishi ananisumbua na barua ya psrs inaonyesha niende na vyeti sio leaving certificate.
 
mbona zipo mingi tu hata ukitaka kariakoo unatengenezewa, ila najua ile shule uliosoma ndo unaweza kwenda kuvipata huko
 
Back
Top Bottom