Mjomba ni mama
Maafa makubwa mno ,wakati huo huo anaineemesha Zanzibar.Unasahau au hujui:
1. Adani aliyekataliwa Kenya ujenzi wa JKIA; hapa kaja na kumaliza mazungumzo yote ya Kazi Bandarini na Samia na kurudi zake nyumbani kwa ndege yake. Hakuna chochote kilichokwihazungumzwa kuhusu makubaliano hayo.
2. Wajomba wa Oman walipewa gesi ya Ntorya kule Mtwara. Wewe ulishasikia lolote makubaliano yao na Samia yalikuwa vipi?
Huyu Samia alisema atakuwa "Chura Kiziwi"; hatasikia tena la mtu yeyote isipokuwa yeye mwenyewe.
Hiki ni kiburi cha shetani, ndicho kimefikia hata kuua waTanzania.
Huyu kama akiachwa aendelee atasababisha maafa makubwa sana katika nchi hii.
Tayari yamesababishwa na ikiendelea hivi baada ya miaka miwili Tanzania litakuwa bomu linalosubiri kulipuka.Unasahau au hujui:
1. Adani aliyekataliwa Kenya ujenzi wa JKIA; hapa kaja na kumaliza mazungumzo yote ya Kazi Bandarini na Samia na kurudi zake nyumbani kwa ndege yake. Hakuna chochote kilichokwihazungumzwa kuhusu makubaliano hayo.
2. Wajomba wa Oman walipewa gesi ya Ntorya kule Mtwara. Wewe ulishasikia lolote makubaliano yao na Samia yalikuwa vipi?
Huyu Samia alisema atakuwa "Chura Kiziwi"; hatasikia tena la mtu yeyote isipokuwa yeye mwenyewe.
Hiki ni kiburi cha shetani, ndicho kimefikia hata kuua waTanzania.
Huyu kama akiachwa aendelee atasababisha maafa makubwa sana katika nchi hii.
😂😂😂 Twaha Mwaipaya is so funny
Kwa jinsi mfalme Mangungo anavyokumbukwa katika historia kutokana na kufanya maamuzi makubwa na ya hovyo kuendana na ukilaza wake, bila shaka hata huyu Bibi Tarabushi naye ameingia katika historia kama hiyo. Muda utakuja kuongea.Unasahau au hujui:
1. Adani aliyekataliwa Kenya ujenzi wa JKIA; hapa kaja na kumaliza mazungumzo yote ya Kazi Bandarini na Samia na kurudi zake nyumbani kwa ndege yake. Hakuna chochote kilichokwihazungumzwa kuhusu makubaliano hayo.
2. Wajomba wa Oman walipewa gesi ya Ntorya kule Mtwara. Wewe ulishasikia lolote makubaliano yao na Samia yalikuwa vipi?
Huyu Samia alisema atakuwa "Chura Kiziwi"; hatasikia tena la mtu yeyote isipokuwa yeye mwenyewe.
Hiki ni kiburi cha shetani, ndicho kimefikia hata kuua waTanzania.
Huyu kama akiachwa aendelee atasababisha maafa makubwa sana katika nchi hii.
My beloved Tanganyika😭Kwenye yote haya hatutaona mikataba yeyote sasa kama ni kwa manufaa ya umma kwanini mikataba ya siri
Utanisamehe mkuu 'izato'; mlinganisho wako hauendani kabisa.Kwa jinsi mfalme Mangungo anavyokumbukwa katika historia kutokana na kufanya maamuzi makubwa na ya hovyo kuendana na ukilaza wake, bila shaka hata huyu Bibi Tarabushi naye ameingia katika historia kama hiyo. Muda utakuja kuongea.