Bila kumuondoa madarakani Benjamin Netanyahu ataiangamiza dunia

Bila kumuondoa madarakani Benjamin Netanyahu ataiangamiza dunia

Mambo ya aliyofanya Israeli huko GAZA ni ya kutisha sana:
GAZA mji mzuri umegeuka kifusi:

HAMAS wameighalimu Gaza pakubwa sana:

GAZA inaenda kugeuka majivu na hakuna wa kuitetea:

Hivi hao HAMASI walianzishaje ugomvi bila ya kuutathimini ?

Binafsi nijisikia uchungu sana kwa kinachoendelea GAZA:
 
Next time usianzishe ugomvi wakati unajua huyo unae mchokozq huna uwezo hata wa kuvunja dirisha la nyumba yake. Kabla ya October 07, 2023 wote walikua wakiishi kwa amani, hata sie tukaamua kupeleka vijana wetu kule kwenda kusoma, October 07 imeharibu kila kitu. Tuwalaumu Hamas na Iran for their poor calculation. Sioni tena kama Gaza itakuja kua chini ya any Palestinian regime, sioni tena hilo likitokea, doesn't matter bibi aendelee kua PM or not
 
Benjamin ni puppet tu aliyewekwa mbele ya camera, wenye nchi yao wenyewe ndiyo mpango mzima.

Wenye nchi yao sio raia wa Israel, Bali ni wale waliounda na kuanzisha Taifa la Israel.

Najua wengi hawajui huyo jamaa hapo pembeni ya Benjamin ni nani.
20250117_155828.jpg
 
Mambo ya aliyofanya Israeli huko GAZA ni ya kutisha sana:
GAZA mji mzuri umegeuka kifusi:

HAMAS wameighalimu Gaza pakubwa sana:

GAZA inaenda kugeuka majivu na hakuna wa kuitetea:

Hivi hao HAMASI walianzishaje ugomvi bila ya kuutathimini ?

Binafsi nijisikia uchungu sana kwa kinachoendelea GAZA:
Hamas wala hawajaanzisha ugomvi, Hamas wapo pale kutafuta uhuru wa nchi yao kama wakina Karume na Nyerere na Mandela unaowasoma leo vizuri kwenye vitabu basi nao walipita njia hizihizi za Hamas, nakukumbusha tu kuwa Hamas imeanzishwa hapo majuzi tu ata miaka 40 haina ila mauaji ya Wapalestina yalianza miaka ya 1910+.

Ukipata muda soma kitu kinaitwa "The Great Israel" uone mission ya Israel kuwa Taifa kubwa, kwaiyo hapa ni suala la muda tu ila kwa ukanda ule wataonewa wengi.

Kwaiyo tusimgeuze mtu ambae anaonewa kuwa mkosefu pale anapotafuta haki yake.
 
Hamas wala hawajaanzisha ugomvi, Hamas wapo pale kutafuta uhuru wa nchi yao kama wakina Karume na Nyerere na Mandela unaowasoma leo vizuri kwenye vitabu basi nao walipita njia hizihizi za Hamas, nakukumbusha tu kuwa Hamas imeanzishwa hapo majuzi tu ata miaka 40 haina ila mauaji ya Wapalestina yalianza miaka ya 1910+.

Ukipata muda soma kitu kinaitwa "The Great Israel" uone mission ya Israel kuwa Taifa kubwa, kwaiyo hapa ni suala la muda tu ila kwa ukanda ule wataonewa wengi.

Kwaiyo tusimgeuze mtu ambae anaonewa kuwa mkosefu pale anapotafuta haki yake.
Umeongea ukweli mtupu ila wengi watakutukana kwa ujinga wao,nelson mandela aliitwa gaidi na mataifa ya magharibi na marekani yalimwita gaidi kwa kuoigania haki yao.Muda utaongea siku moja kuhusu hamas.
 
Umeongea ukweli mtupu ila wengi watakutukana kwa ujinga wao,nelson mandela aliitwa gaidi na mataifa ya magharibi na marekani yalimwita gaidi kwa kuoigania haki yao.Muda utaongea siku moja kuhusu hamas.
KInachotutesa katika huu mgogoro ni Udini! Mimi ni Mkristo ila nimekubali kujifunza kuwa Israel ndiye muhuni No. 1 hapa Duniani.
 
Hamas wala hawajaanzisha ugomvi, Hamas wapo pale kutafuta uhuru wa nchi yao kama wakina Karume na Nyerere na Mandela unaowasoma leo vizuri kwenye vitabu basi nao walipita njia hizihizi za Hamas, nakukumbusha tu kuwa Hamas imeanzishwa hapo majuzi tu ata miaka 40 haina ila mauaji ya Wapalestina yalianza miaka ya 1910+.

Ukipata muda soma kitu kinaitwa "The Great Israel" uone mission ya Israel kuwa Taifa kubwa, kwaiyo hapa ni suala la muda tu ila kwa ukanda ule wataonewa wengi.

Kwaiyo tusimgeuze mtu ambae anaonewa kuwa mkosefu pale anapotafuta haki yake.
Kuna namna nyingi ya kudai haki:
Namna alivyofanya hamasi haikubaliki:
Hata kama ulionewa namna gani, njia aliyo tumia Hamas siyo sahihi hata kidogo:
Kuua na kuteka watu wasio na hatia sio namna bora ya kudai haki:
Kitendo alicho kifamya Hamas kimeipa sababu Israeli kufanya maangamizi makubwa Gaza:

Na bado Gaza inaendelea kuangamia:
Nina uhakika Hamasi kwa sasa wanajutia kitendo cha kuingiza ugomvi wao na Israeli kwa kudhurimu haki ya kuishi ya raia wa Israeli:
Gaza kwa sasa ni magofu na vifusi na bado inapigwa, sasa kuna faida gani kwa Hamas:
Hamas kama wangejua matokeo ya uvamizi wao wasingethubutu kuimchokoza Israeli ile siku:
 
Kuna namna nyingi ya kudai haki:
Namna alivyofanya hamasi haikubaliki:
Hata kama ulionewa namna gani, njia aliyo tumia Hamas siyo sahihi hata kidogo:
Kuua na kuteka watu wasio na hatia sio namna bora ya kudai haki:
Kitendo alicho kifamya Hamas kimeipa sababu Israeli kufanya maangamizi makubwa Gaza:

Na bado Gaza inaendelea kuangamia:
Nina uhakika Hamasi kwa sasa wanajutia kitendo cha kuingiza ugomvi wao na Israeli kwa kudhurimu haki ya kuishi ya raia wa Israeli:
Gaza kwa sasa ni magofu na vifusi na bado inapigwa, sasa kuna faida gani kwa Hamas:
Hamas kama wangejua matokeo ya uvamizi wao wasingethubutu kuimchokoza Israeli ile siku:
Mkuu unamfundisha mtu ambae anaona ndugu zake wanauliwa na kunyang'anywa ardhi tangia anazaliwa mpaka anafika miaka 30? Umeua kaka zake, shangazi zake, wajomba zake, anaona unakuja unavunja nyumba yao mpaka anapata akili anaona unayofanya kwenye jamii yake alafu leo unataka umpangie namna ya kudai haki?

Basi haya unayayaona sasa makubwa basi fuatilia Uingereza jinsi walivyokafanywa na Wayahudi kipindi wanataka Uhuru, Waingereza waliuawa kama kuku huko Palestina na mpaka Malkia Elizabeth 2 anatoka madalakani hakuwahi kukanyaga ardhi ya Israel cos aliona vitendo vyao anzia akiwa mdogo jinsi waingereza wakiuawa na Wayahudi

Kama haitoshi Wayahudi waliua mpaka wajumbe wa UN walitumwa kusuruhisha uo mgogoro.

Msome huyu mtu huyu
Screenshot_2025-04-19-11-06-59-41_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Hatoingamiza dunia, usihusishe dunia kwenye migogoro ya watu wengine.
Kila nchi ina matatizo yake, kila mtu apambane na lakwake
kuharibika kwa dunia na mpaka kwetu athari zitatufikia kwani,mataifa mengi yataingia vitanda,ukacwa bahari unaopitisha meli zenye bidhaa kuha huku kwetu utaathiriwa na vita,bidhaa zitakuwa hazipatikani,zitapanda bei,mfumo wa kibiashara utaathiriwa huku pia tutaathirika,ndio maana tuombe hii vita isipanuke,isuluhishwe
 
Back
Top Bottom