tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,813
- 15,077
Hello JF,
Naombeni ushauri wa nini cha kufanya.
Mimi kwa kifupi bila kunywa pombe huwa sipati usingizi,mimi sio mlevi yule wa kulewa mpaka kubebwa, na pombe zangu kubwa ni Heineken, Windhoek na Serengeti Lite but for sure huwa siwezi kupata usingizi bila kupata bia.
Mfano, usiku wa kuamkia leo nilijiambia nijaribu kulala bila kuonja bia, but surprisingly usingizi umekata since saa 7 usiku.
What should I do ,coz nataka kuachana na unywaji wa pombe?
Naombeni ushauri wa nini cha kufanya.
Mimi kwa kifupi bila kunywa pombe huwa sipati usingizi,mimi sio mlevi yule wa kulewa mpaka kubebwa, na pombe zangu kubwa ni Heineken, Windhoek na Serengeti Lite but for sure huwa siwezi kupata usingizi bila kupata bia.
Mfano, usiku wa kuamkia leo nilijiambia nijaribu kulala bila kuonja bia, but surprisingly usingizi umekata since saa 7 usiku.
What should I do ,coz nataka kuachana na unywaji wa pombe?