mwalimumzalendo1
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 1,098
- 403
Si bure hakika
Ana mapungufu
Si bure hakika
john komba, steven wasira, mwigulu chemba
Nafikiri hapa ni oposite kwa uliowataja. Wao kila wanachofanya ni ushabiki wa chama. Pesa zinachotwa BOT wao wala haiwahusu. To me hawa ni best poor performing MP 2014.
Kangi Logola na Mnyika ni kiboko, na mwaka jana alikuwa Deo Fulikunjombe ila kwa sasa naona ameshamezwa...
Lowasa lini katoa mchango bungeni
Mchango upi unamaanisha?? Kama ile ya harusi??
Mkuu ww ndo umejibu swali, kuna watu hum cjui hata kama darasa la 7 alimaliza, maana alicho ulizwa na majibu yake c kwamba havifanani ila hata haviendani,
Hao ndo wanao andika matusi na bongo fleva kwenye karatasi ya majibu...
Ndio kama ile baba aliyokuwa anaolewa