Mambo muhimu matatu wabunge bila kujali itikadi za vyama vya siasa wanatakiwa kuyafanyia kazi.

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
Mambo muhimu matatu wabunge bila kujali itikadi za vyama vya siasa wanatakiwa kuyaanza kuyafanyia kazi baada ya bunge kuanza.
1) Wapeleke mapendekezo bungeni kwenye katiba kiwepo kifungu ambacho kitaruhusu raisi kushitakiwa akimaliza madaraka yake hili jambo ndio linalotuumiza
2) Wabunge wapeleke mapendekezo bungeni kuwepo na katiba kufanyiwa mapendekezo kuwepo Tume huru ya uchaguzi .Bila kuwa na Tume Huru ya uchaguzi tutaendelea kulalamika kwenye uchaguzi mpaka mwaka 2057.

3) Wabunge wapeleke mapendekezo katiba kufanyiwa marekebisho matokeo ya kura za raisi yahojiwe mahakamani

Baada ya hapo mapendekezo kupitishwa tungeheshimiana hili la raisi kutoshitakiwa ndio shida ya muda mrefu mbona nchi kubwa kama Ufaransa na nyingine nyingi tu wameweka katiba inayoruhusu raisi kushtakiwa baada ya kutokana madarakani kama ana tuhuma za ufisadi.
tmp_16963-FB_IMG_14905312961951590068909.jpg
 
Ha ha haaaa

Upaparazi unawashinda unarukia kuwa mshauri sasa na kupwaya tena

Hapo mwisho unaongelea ufisadi

Unataka kumrushia Rais wetu mpendwa tuhuma kuwa ni fisadi ndio iwe hivyo!?

Tatizo tatizo bado lipo kwenu wengi... ukiandika rudia rudia kusoma hasa kama unataka kutoa hoja moto moto, hata sisi tutikisike sasa kufananisha na nchi hiyo na kusema ufisadi... ngachoka mimi

Hapa kazi tu

Magufuli oyeeeeee
 
Mambo muhimu matatu wabunge bila kujali itikadi za vyama vya siasa wanatakiwa kuyaanza kuyafanyia kazi baada ya bunge kuanza.
1) Wapeleke mapendekezo bungeni kwenye katiba kiwepo kifungu ambacho kitaruhusu raisi kushitakiwa akimaliza madaraka yake hili jambo ndio linalotuumiza
2) Wabunge wapeleke mapendekezo bungeni kuwepo na katiba kufanyiwa mapendekezo kuwepo Tume huru ya uchaguzi .Bila kuwa na Tume Huru ya uchaguzi tutaendelea kulalamika kwenye uchaguzi mpaka mwaka 2057.

3) Wabunge wapeleke mapendekezo katiba kufanyiwa marekebisho matokeo ya kura za raisi yahojiwe mahakamani

Baada ya hapo mapendekezo kupitishwa tungeheshimiana hili la raisi kutoshitakiwa ndio shida ya muda mrefu mbona nchi kubwa kama Ufaransa na nyingine nyingi tu wameweka katiba inayoruhusu raisi kushtakiwa baada ya kutokana madarakani kama ana tuhuma za ufisadi.
View attachment 487155
 
Shida wabunge gani watakaopeleka hoja za msingi kama hizo? Yaani matatizo kubwa yanalotutawala ni:-

1. Ubinafsi
2. Uroho wa madaraka
3. Unafiki
4. Disunity
 
Mambo muhimu matatu wabunge bila kujali itikadi za vyama vya siasa wanatakiwa kuyaanza kuyafanyia kazi baada ya bunge kuanza.
1) Wapeleke mapendekezo bungeni kwenye katiba kiwepo kifungu ambacho kitaruhusu raisi kushitakiwa akimaliza madaraka yake hili jambo ndio linalotuumiza
2) Wabunge wapeleke mapendekezo bungeni kuwepo na katiba kufanyiwa mapendekezo kuwepo Tume huru ya uchaguzi .Bila kuwa na Tume Huru ya uchaguzi tutaendelea kulalamika kwenye uchaguzi mpaka mwaka 2057.

3) Wabunge wapeleke mapendekezo katiba kufanyiwa marekebisho matokeo ya kura za raisi yahojiwe mahakamani

Baada ya hapo mapendekezo kupitishwa tungeheshimiana hili la raisi kutoshitakiwa ndio shida ya muda mrefu mbona nchi kubwa kama Ufaransa na nyingine nyingi tu wameweka katiba inayoruhusu raisi kushtakiwa baada ya kutokana madarakani kama ana tuhuma za ufisadi.
View attachment 487155


Tafuteni Wabunge wenu kwanza kwa kuwashawishi Wananchi wawachague ndiyo muweze kuwapangia cha kufanya!
 
Unawashwa?
Unawashwa?
Ha ha haaaa

Upaparazi unawashinda unarukia kuwa mshauri sasa na kupwaya tena

Hapo mwisho unaongelea ufisadi

Unataka kumrushia Rais wetu mpendwa tuhuma kuwa ni fisadi ndio iwe hivyo!?

Tatizo tatizo bado lipo kwenu wengi... ukiandika rudia rudia kusoma hasa kama unataka kutoa hoja moto moto, hata sisi tutikisike sasa kufananisha na nchi hiyo na kusema ufisadi... ngachoka mimi

Hapa kazi tu

Magufuli oyeeeeee
Vilaza katika ubora wenu uwezo wenu wa kufikiri ndo umeishia hapo msiwe mnajipekendeza kwenye mada zangu bado watoto sana !
Tafuteni Wabunge wenu kwanza kwa kuwashawishi Wananchi wawachague ndiyo muweze kuwapangia cha kufanya!
 
Vilaza katika ubora wenu uwezo wenu wa kufikiri ndo umeishia hapo msiwe mnajipekendeza kwenye mada zangu bado watoto sana !

Wewe unategemea kupata habari JF ili uandike kwenye kazi yako na kutangaza. Unakuwa busy kuanzisha uzi na kuuliza maswali, inabidi ujifikirie kikazi ujiongeze haswaaaaaaaaa na sio kutujibu kama vile upo juu.
 
La muhimu kabisa ni wabunge 78 kujikusanya ili kuanzisha hoja ya kumtoa rais madarakani kwa impeachment kama ilivyoandikwa katikakifungu cha katiba cha 46.

Joka likiingia ndani ya nyumba,kitu cha kwanza ni kuliua na kulitoa ndani ya nyumba.

Habari ya kuimarisha mlangona madirisha inakuja baadaye.

Huwezi kuanza kuimarisha milango na madirisha wakati joka bado lipo ndani. Litakuua.
 
Tatizo ni je raisi atakubali kusaini huo mswada ili itumike kama sheria itakayo mwajibisha?
 
Back
Top Bottom