Bila kuchunika kuna ukimwi?

Kaitaba

JF-Expert Member
Jun 30, 2009
916
52
kawaida ya kondomu ni kuzuia usipate ukimwi, inakuzuia kwa kukukinga na michubuko iwapo itatokea usipate ukimwi, Swali ni, je! kama sijatumia kondomu lakini sikuchunika naweza kupata ukimwi?,
 
kama ulikula denda na huyo binti ana vidonda vya mdomo basi hiyo pia inaweza kusababisha kuupata. Umecheza peku peku viwanja vya ugenini?
 
kawaida ya kondomu ni kuzuia usipate ukimwi, inakuzuia kwa kukukinga na michubuko iwapo itatokea usipate ukimwi, Swali ni, je! kama sijatumia kondomu lakini sikuchunika naweza kupata ukimwi?,
Pole sana ndugu yangu. Vipi ilipasuka au?
 
kawaida ya kondomu ni kuzuia usipate ukimwi, inakuzuia kwa kukukinga na michubuko iwapo itatokea usipate ukimwi, Swali ni, je! kama sijatumia kondomu lakini sikuchunika naweza kupata ukimwi?,

Michuniko huwa ipo na silazima uione kwa macho ya kawaida! kitendo cha kufanya ngono bila kinga na kukutana na body fluids za ukeni kama partner ni muathirika uwekezakano wa kupata ambukizo ni mkubwa hasa kama hakukuwa na foreplay za kutosha kumuandaa mwanzako. Mipasuko na michuniko ipo midogo midogo ambayo hutokea hata unapoejaculate, katika hali ya kawaida huwa haionekani. Pima afya yako baada ya miezi sita na siku nyingine tumia kinga.
 
kama ulikula denda na huyo binti ana vidonda vya mdomo basi hiyo pia inaweza kusababisha kuupata. Umecheza peku peku viwanja vya ugenini?[/QUOTE]
Haina maana hiyo, ila ni katika kuelimishana tu.
 
Watu wanakosea wanapofikiri michuniko ni ile mpaka uhisi umechunika, tunaongelea hata kwenye microscopic level. But anyhow chance za kupata ukimwi sio kubwa kama unavyofikiri, probably U r fine, tumia kinga next time.
 
Watu wanakosea wanapofikiri michuniko ni ile mpaka uhisi umechunika, tunaongelea hata kwenye microscopic level. But anyhow chance za kupata ukimwi sio kubwa kama unavyofikiri, probably U r fine, tumia kinga next time.

Misleading statement hii! Kwenye mapambano zidi ya ukimwi ifike wakati spade to be called a spade and not a big spoon....
 
Kufanya NGONO bila kinga ni kujihakikishia maambukizi ya UKIMWI/VVU! Kaitaba, michubuko inayooogelewa na wataalam ni "microscopic". Chukua pilipili jipaka kwenye uume and utakuja fahamu kuwa aina ya michubuko inayoongelewa!
 
Na vipi kama mtu amepimwa akaonekana hana virus, lakini ameambukizwa siku chache zilizopita na virusi havijaweza kuonekana kwenye vipimo, anaweza kuambukiza wenzake?
 
Kufanya NGONO bila kinga ni kujihakikishia maambukizi ya UKIMWI/VVU! Kaitaba, michubuko inayooogelewa na wataalam ni "microscopic". Chukua pilipili jipaka kwenye uume and utakuja fahamu kuwa aina ya michubuko inayoongelewa!

Una maanisha nini kwa kusema KINGA? is it kondomu? mie ninaona kondomu bado haiwezi kuwa kinga ya VVU.
 
kama ulikula denda na huyo binti ana vidonda vya mdomo basi hiyo pia inaweza kusababisha kuupata. Umecheza peku peku viwanja vya ugenini?

hivi huwaga tunaelewa hoja au tunajibu ilimradi tuwe tupo tu
, swali linahusu KONDOMU,MICHUBUKO, UKIMWI, NA WALA SIO DENDA KAMA UNAVYOJARIBU KUTENGENEZA HOJA YAKO
 
Asante Kaitaba kwa topic yako umeelimisha wengi, pia nakushukuru Masanilo kwa jibu lako zuri. Nimeipenda hii thread unajua Kaitaba umeokoa maisha ya watu wangapi kwa thread yako hii? be blessed.
 
Asante Kaitaba kwa topic yako umeelimisha wengi, pia nakushukuru Masanilo kwa jibu lako zuri. Nimeipenda hii thread unajua Kaitaba umeokoa maisha ya watu wangapi kwa thread yako hii? be blessed.

Mmpe THANKS:)hug:) kaokoa maisha yako.
 
kawaida ya kondomu ni kuzuia usipate ukimwi, inakuzuia kwa kukukinga na michubuko iwapo itatokea usipate ukimwi, Swali ni, je! kama sijatumia kondomu lakini sikuchunika naweza kupata ukimwi?,

Jinsi ukimwi unavyoogopeka ...Condom huonyesha unajali Kaitaba ..
 
Misleading statement hii! Kwenye mapambano zidi ya ukimwi ifike wakati spade to be called a spade and not a big spoon....

Actually its a very accurate statement, the chances of getting aids from normal non high risk heterosexual intercourse are highly exaggerated.
 
Back
Top Bottom