Hauwezi kuwa na chemistry na mwanamke ambaye sio bikira (malaya)
Sababu ni hizi:
- Hana sexual discipline ndio maana haukumkuta bikira, alijirahisisha wakamtomba au kumfira na kumtoa bikira zote mbili
Unapoamua kuoa mwanamke asiye bikira ujue unajiweka kwenye position ya kucompete na wanaume tofauti:
- Kuna yule aliyemtoa bikira
- Exes wake waliompea good sex
- Na wale waliomtomba one night stands
Siku moja lazima akucheat na mmoja kati ya hao na kukufanya ulee bao la mwanaume mwingine
Hiyo chemistry unaitolea wapi kmmmk?
Ikiwa kuoa bikira does not guarantee she'll make her a good wife 100%
Kwa hiyo asiye bikira ndio unampa asilimia ngapi she'll be a good wife?
Mahari ni kwa ajili ya mwanamke aliyetunza bikira na sio malaya mwenye degree
Ilipohusu mwanae azaliwe na nani Mungu alimchagua bikira Mariamu amzae Yesu hakumchagua malaya asiye na bikira
Mchina baaaaasi... basi mchinaaa..Kama sio bikira ni malaya mkuu, atuonyeshe malaya mwenye bikira
Mwanaume ataamua mwenyewe aoe bikira au malaya
Hivi umenielewa?? Leta evidence ya uliyoyasema..😄😄😄😄😄😄😄
Kwanza nimedanganya!?
Kwenye hizo hoja Kuna inaonyesha uongo?
Kama sio kweli sema?
Mkeo kati ya wangapi ambao hawana?Bikira zipo, wapo wanawake wamejifunza vizuri tu na wamesoma binafsi mke wangu nimemkuta na bikira na ni digrii holder so bikira zipo, kama hauna sawa ila sababu za chemistry siziwepo
Udhalilishaji tu..Hii mada imenikumbusha juzi kati kuna binti alikuwa na 21 years alikuwa bikra alilipiwa n'gombe 30,na mwingine asiye na bikra alitokewa n'gombe 15 na moja alipata bahati kuolewa ilihali tayari alikuwa na mtoto alitolewa n'gombe 5.
Hii ilikuwa mwaka huu huko kwa Wasukuma.
Hakuna discussion kati ya mke na mume sio?Kwanza tambua asilimia kubwa ya mabinti wanao tokea familia bora hadi wanafika vyuo vikuu wengi ni mabikira.Huko uswahilini ndio kupata bikra sio kazi maana wazazi hawana vipato inabidi mabinti wajiongeze.
Pia hata mwanamke awe ana PhD,hakuna mwanaume aliyekamilika nafanya discussion na mwanamke.Mwanamke ni kupewa maelekezo na kuyafanyia kazi-uanze ku discussion naye kuhusu nini???
Mbona sioni post yake jamani au kaifuta..?Mchina baaaaasi... basi mchinaaa..
Basi baba..😓😓😓😓😓😓
Hahaaa mnaanzaga wenyewe hafu hamuoni kama mnaoffend..Mbona unapanik wewe..? Au inakuuma kupoteza usichana wako kwa serengeti lite
And nature always win, is natural kutolewa...ndio maana wengi hawanaNature always win.
Kwa nini hata mtoto wa kike wa kahaba huzaliwa akiwa na bikra? Kwa nini huwa inakuwa pale.?
AiseeHahaaa mnaanzaga wenyewe hafu hamuoni kama mnaoffend..
Mbuzi wewe nimekuuliza such information itakusaidia nini? Nijibu au funga bakuli lako kum.a we!
Hii nakubaliana nayo....kwa 💯Nimeona huku watu wako so desperate kupata bikira mpaka kutaka kuoa young girls vijijini huko...
Sawa utampata kigori huko kijijini, akija mtu huyu huwezi hata kufanya discussions nae sababu mko class tofauti, hamuwezi kuwa level moja mkadiscuss maendeleo...more likely kwanza umemzidi elimu..
Second bikira inatolewa siku moja, sio kwamba itaota kila siku, inatoka siku moja then una realise umebeba mtu mzigo huna chemistry nae, sio rafiki yako..hamna chemistry baada ya hapo ..mtuambie nyie mliioa vijijini is it worth kukaa na mzigo kama huu kisa tu bikira ya siku moja?!
Tatu sio kweli kuwa na bikira ndio mtu atabaki kuwa na uke mdogo(mnato)daima , hayo ni maumbile tu ya mwanamke, wanawake wanatofautiana ..huyo mkeo ambae ulimkuta bikira anaweza kuzaa na uke wake ukabaki mkubwa.(sio wote). Wide notion kuwa ukifanya sex mara nyingi uke unalegea ni myth, ni maumbile tu ya wanawake na tunatofautiana..
Mwisho nilishawahi kuuliza swali humu tangia muanze kuhubiri bikira nani kakutana nayo??? Out of millions of men wanaotumia JF pamoja na wale wanaume wenye fake ID 🤣🤣😆 ni wachache sana walikuwa na guts za kusema wamekutana nazo..majority ni hola, so bikira is overated here in JF...bebeni mangurumbembe yenu maisha yasonge...stop looking for a needle in haystack...
Wasalaam
Anita
Mimi huyoooooooo byeee
Vitoe vitabu vya dini halafu rudi kwenye tamaduni zako za asili utajikuta unarudi palepale,kwamba bikra ni kitu cha thamani kwa mwanaume wa jamii yoyote. Duniani kuna watu wa tamaduni na asili tofauti,hawajawahi kukutana kusema waliweka kikao cha kukubaliana kuhusu thamani ya mwanake mwenye bikra, ila still jamii zote duniani bikra wanaipa thamani.Usikute naongea na kitoto cha miaka 15!
Wewe tangia ujue wanawake umekutana nayo?!
Ongea fact sio mazingaombwe..
Usiniambie vitabu vya dini, sababu kuna walevi,mashoga, wazinzi wabakaji etc japo kuna dini, kwanza wengi hawaamini hizo dini so kigezo chako cha dini hakina hoja!
Mwisho nimeongea vitu vinne pale juu refute ama baking kimya!
Siku hizi wanajiamini binti anaolewa, anawatafuta maex wake wamchangie na kwenye group anakuadd na anakukumbushia kabisa mchango,ndio maana wengine wanagongwa wiki ile ya kufungia ndoa eti wanaagana.Yaani mpaka hapo unaona hiyo ndoa haitokuwa na afya.Just imagine siku ya harusi. Maex wa mkeo, waliomla kimasiahara na aliopiga nao one night stand wapo ukumbini halafu bwana harusi ndio upo pale mbele na suti yako unacheka cheka tu kama fala. Si uxenge huu.
Kwani walishikiwa bunduki wakati zikitolewa.Kitu kipo kwenye himiya yako, then unalalamika kwamba wamekushawishi ukawapa, sasa hiyo akili na utashi aliyopewa ya nini.Anae ziondoa hizo bikra ni mwanamme, anae zitafuta tena hizo bikra ni mwanamme na anae lalamika tena hizo bikra kutokuwepo ni mwanamme. Kuna mahali wanamme tunakuwa wabinafsi.
Kama mke wangu anayo ninaamini wapo wengine wanazo, kama wewe huna sema sina mambo ya chemistry weka pembeniMkeo kati ya wangapi ambao hawana?
Bro, nimekuuliza mkeo kati ya wangapi? Husemi hili jibu ingawa unalijua badala yake una spin..kama hujui hili jibu weka poll hapa jf uone hao "wengine" walizo nazo! Afu acha kunichokoza kijanja, mambo ya chemistry yamewaingia eeh?;wacha dawa iwaingie shenziKama mke wangu anayo ninaamini wapo wengine wanazo, kama wewe huna sema sina mambo ya chemistry weka pembeni