Daah maisha yanaenda kasi kweli aisee
Jf imeshakuwa fb
Yule msanii aliyejisifu ni bikraView attachment 546161
Aseeh hatariAisee Nalegeza ukinikaza nalia duuuu
Asante muhenga....Mbona mnachelewa kudetect vitu vidogo namna hii?
Unashindwa vipi kujua kuwa hii ni new song inakuja ndiyo na ameanza kuchombeza na picha za kwenye video pamoja na baadhi ya mistari ya hiyo nyimbo ili kupata attention???
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wamechoka kufikiri na mwitikio wa mapokeo upo kimapenzi zaidiMbona mnachelewa kudetect vitu vidogo namna hii?
Unashindwa vipi kujua kuwa hii ni new song inakuja ndiyo na ameanza kuchombeza na picha za kwenye video pamoja na baadhi ya mistari ya hiyo nyimbo ili kupata attention???
Sent using Jamii Forums mobile app