mbari sa menya
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,006
- 1,889
Ukiwakuta Juliana, kizungu kingi, hasa wakikiagiza kitimoto na bia ya Windhok inayoingizwa nchini na Rugemalila,Nshomile ukiwakuta Juliana Wana mbwembwe sana!
Haujafika vipi wakati hapo inaonekana twn kabisa mana yake hakai mbali na hapoHuko kuna kaya umeme haujafika, kibatali kinawashwa wakati wa kula tu, ukipata mwanga kama huo inabidi akasome ili asipoteze muda,
Umetia chumvi nyingi sana Mimi nimeenda bush ndani ndani huko hakuna umeme Ila wakiuza mazao yao wananunua Solar sio wajinga kiasi hicho, na Solar wanazotumia zina Mwanga tu km huu wa TANESCO
Haujafika vipi wakati hapo inaonekana twn kabisa mana yake hakai mbali na hapo
Labda kama wafanyakazi tu...sio wa kuzaliwa
Hao elimu ya Solar itakua haijawafikia au wanaongozwa na Viongozi mizigo wasiojua kutatua changamoto za wananchi wao,Unaamini kila kaya ni wakulima? Uliwahi kufika vijiji kama Njelenje huko mbeya ukaona kama kaya zote zina sola?
HUyo kapenda tu kams kwao haupo si aende kwa jirani? Kulikua na ulazima gani kusoma usiku ule?Umeme kufika katika kijiji au mji haimaanishi kila kaya au nyumba imefanikiwa kuvuta huo umeme
Unataka Serikali ikufungie umeme bila wewe kuomba ? Au umemaanisha nini kwa maelezo yako hayo ?Umeme kufika katika kijiji au mji haimaanishi kila kaya au nyumba imefanikiwa kuvuta huo umeme
🤩🤩🤩Ukiwakuta Juliana, kizungu kingi, hasa wakikiagiza kitimoto na bia ya Windhok inayoingizwa nchini na Rugemalila,
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Jirani na Njia panda ya Kwa Mwamunyange, ni Barabarani tu ile njia ya alikokuwa anakaa RC SadiqMbona napita hapo kila siku naenda jangwani see breeze ila sipajui .one day nitapatafuta
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Si asome mchana.INA MAANA HANA TAA KWAO HATA KIBATARI? AU JOHN KISOMO HADI BARABARANI??
Dereva wagari motoAaah kweli bado tuna safari ndefu mkuu, nani alimpiga picha?)Kwa lengo gani?
Biharamulo wadau..Picha inasambaa kama moto wa kifuu Africa na duniani ikimuonesha mtoto mmoja mpenda shule akipigia msuli kwenye taa za barabarani hivi majuzi huku akiwa amevalia tisheti ya timu ya taifa ya Tanzania (taifa stars).
Barabara hiyo ambayo haiko busy sana imewekewa taa za barabarani hivi karibuni.
USSR View attachment 2580948
Sent using Jamii Forums mobile app