hongera zao.....hivi hilo jina la simu 2000 limepatikanaje?
Tupieni photos kwa sisi tulio mbali tukione
hongera zao.....hivi hilo jina la simu 2000 limepatikanaje?
Jina simu 2000 lilitokana na eneo hilo lilikuwa mali ya Posta na Simu Baada ya kugawanywa Simu kuwa TTCL na Posta kubakia peke yake , Ndipo iliundwa Kampuni ya kusimamia na kuuza mali zilizokuwa za Shirika la Posta na Simu likaitwa Simu 2000.Hivyo kiwanja hicho kikawa mikononi mwa Simu 2000.Baada ya wadau mbali mbali kwenye kikao cha Mkuu wa Mkoa walipoamua kukihamisha kituo kidogo cha Ubungo kukipeleka pale na kukipa jina la Simu 2000.Manispaa walisimamia ujenzi na uendeshaji.Ni chanzo kizuri sana cha mapato pia kuna kituo cha polisi na vyoo/mabafu ya kulipia.
Mambo mazuri hatuna budi kuyaona na kuyasifia, Kituo kidogo cha daladala simu 2000 kimenithibitishia kwamba tunaweza tukiamua. Ni kituo kisafi chenye mpangilio na salama.Nawapongeza wasimamizi ambao nina uhakika ni Manispaa ya Kinondoni.Ila najiuliza huko kwingine wameshindwa nini?TUBADILIKE, Mambo mazuri yatatujengea tabia nzuri pia!:focus:MICHUZI BLOG: mwandani wa kituo kipya cha daladala cha simu ama mawasiliano 2000 cha sinza, dar es salaam
Huwa mnadai...oooh,dar kuna nini,kwani lazima kuja dar,afu mnakuwa wa kwanza kuomba picha za maeneo na vitu mbalimbali hapa daslam..ili na ninyi japo msafishe macho na kulijuw jiji thru pics...kudos wakuu..#team mikoani
Bado sijajua sababu ya hiyo kampuni kuita eneo hilo SIMU 2000.Jina simu 2000 lilitokana na eneo hilo lilikuwa mali ya Posta na Simu Baada ya kugawanywa Simu kuwa TTCL na Posta kubakia peke yake , Ndipo iliundwa Kampuni ya kusimamia na kuuza mali zilizokuwa za Shirika la Posta na Simu likaitwa Simu 2000.Hivyo kiwanja hicho kikawa mikononi mwa Simu 2000.Baada ya wadau mbali mbali kwenye kikao cha Mkuu wa Mkoa walipoamua kukihamisha kituo kidogo cha Ubungo kukipeleka pale na kukipa jina la Simu 2000.Manispaa walisimamia ujenzi na uendeshaji.Ni chanzo kizuri sana cha mapato pia kuna kituo cha polisi na vyoo/mabafu ya kulipia.
Inawezekana kuna jamaa mwenye sauti kwenye kampuni alikuwa Bar ameshapendeza kichwani akapewa nafasi ya kupendekeza jina akafyatuka na hilo. Katika majina yoooote mabaya ambayo hayaeleweki hili linaweza kuwa linaongoza DSM.Kituo kizuri sema hilo jina bwana limekaa kushoto sana, eti simu 2000 ndio nini sasa?! how comes?? haliji kabisa,
mkuu naona mahesabu yalikuchanganya? naishangaa user id yakokazi nzuri wamekipanga vizuri sana hata mgeni hapotei maana kuna majina ya route kabisa...ila kituo kipya cha kilombero(arusha) ndo hovyo kabisa