Big up Lowassa kazana uchukue nchi

nitaomba uraia wa somalia lowasa akishupalia na mkampa top post ya nchi yangu tanganyika, it’s better to to live in the house top than in the house full of lowasa’s cofusion!
 
All the negative things are possible in this country, nothing positive/revolutianary is Possible in here.........
 
Nampenda sana Lowasa, lakini akiwa rais upinzani ndo utaisha kabisa nchini. Ni hilo tu
 
let him be, let him win, let him show them that a friend in need is a friend indeed, m.k.were is not a friend!!! Ni kigeugeu. Let him win in his own without a support of so called friend, and indeed I will be happy if he manage that.
 
Hatutaki rais masikini tena, hatutaki rais wa majaribio, hatutaki rais asiyesikiliza hasa vijana maana ndo Taifa la leo. Hatutaki rais asiyesimamia anayoyaamini kwa hoja. Tunamtaka rais wa kutuondoa hapa tulipo na kutupeleka kwenye neema kwa wananchi wote na si wajanja wachache. na rais huyo ni Lowassa tu. Mpeni nchi muone kama kila tatizo halijatafutiwa jibu ndani ya siku 100.
 
Labda wewe usimpe kura watu kibao wakiwemo wasomi wanaopima mambo kwa kina wameshasema kura zao kwa Lowasa kama ataamua kugombea, fitna hazina nafasi. Nikurudishe nyuma kidogo kwa Rais zuma wa Africa Kusini, aliwekewa zengwe la tuhuma za kupangwa akazipangua zote mahakamani maana hawakuwa na ushahidi wa kutosha na sasa ni rais wa Afrika ya Kusini. Wewe unahaki ya kumpigia kura mtu anayemtaka ila huna haki ya kuzuia watanzania kuchangua mtu wanayemtaka. Tanzania tunahitaji watu wanaoweza kufanya mambo yatokee sio watu wenye nadharia za kusadikika!:eyebrows:

Hivi kuanzia 2015 tutakuwa na Marais Wangapi?
 
kusema kweli EL japokuwa wanasema ni fisadi ila ana say na an uwezo wa kusimamia jambo! sio wengine wanolia, unalia nini unataka uhurumiwe?
 
i doubt people have been made to think that lowassa ni fisadi,hawatumii akili zao im sorry ,im not one of you,cos lowasa ni fisadi kama mbowe,kikwete,lipumba.hamad nk....,sasa kama hao watu wanaweza kuwa marais basi na lowassa hivyo hivyo.WELCOME BACK
 
Hivi ina maana muda wote watakaokuwa Dodoma hawa jamaa wa CCM wanajadili magamba tu? Mbona sisikii wakijadili na kutoa matamko kuhusu mambo ya msingi kwa maendeleo ya nchi yetu hii yenye matatizo katika kila sekta. Nilitarajia vikao vya juu vya chama tawala vingetumia muda mwingi kujadili masuala ya:
  • Uzalishaji wa umeme wa uhakika;
  • Mdororo wa uchumi na mikakati ya kuutatua;
  • Ongezeko kubwa la gharama za maisha kwa wananchi wa kawaida linaloambatana na mfumko wa bei;
  • Ongezeko kubwa la ajali za barabarani zinazoua watu na kuharibu mali za wananchi;
Inaonekana hawa jamaa wamejikita kujadili na kupanga nani atakayekuwa rais wa nchi 2015 bila kujua kuwa nchi inaweza kusambaratishwa na hayo matatizo niliyoyataja hapo juu.
 
Back
Top Bottom