Big up Lowassa kazana uchukue nchi

nape-lowassa.jpg

Nimefunguka macho leo Kumbe kwenye NEC na CC za watawala salaam ni kwa mkono wa kushoto!!!! Kwa mwendo huo Kumbe ukiingia huko ni mpaka upate orientation ya jinsi ya kusalimiana, kushangilia etc
 
Hatutaki rais masikini tena, hatutaki rais wa majaribio, hatutaki rais asiyesikiliza hasa vijana maana ndo Taifa la leo. Hatutaki rais asiyesimamia anayoyaamini kwa hoja. Tunamtaka rais wa kutuondoa hapa tulipo na kutupeleka kwenye neema kwa wananchi wote na si wajanja wachache. na rais huyo ni Lowassa tu. Mpeni nchi muone kama kila tatizo halijatafutiwa jibu ndani ya siku 100.

Tatizo ni hapo kwenye red! EL ni zaidi ya JANJAWEED!!
 
CCM guys you are all opportunists! This is what's happening kwenu hakuna cha wapinga ufisadi nor ma-fisadi wote ninyi ni majeruhi wa kuponyokwa na ulaji katika sufuria la watanzania..

This is what I wrote sometimes back...

Nikuulize swali dogo tu je mpaka sasa kilichofanywa na CCM kwa hatua hii iliyopo siyo evidence tayari kuwa mafisadi wapo humo ndani? Je hudhani kuwa peoples power ikichangamshwa kidogo tu watatoa hukumu ya haki na serikali kulazimishwa kufanya hivyo? Moto huu ulipofikia ni vigumu wote kutoka wazima kwani majeruhi wengine wameungua mpaka 3rd degree kiasi kwamba wanapumua tu lakini uzima ni kwa miujiza na hao ndiyo hatari kuliko majeruhi walio namatumaini ya kupona na kupata another chance ya maisha baada ya kutoka ICU ambao pia watapenda kuwamaliza hao mapema kabla wanaokufa hawaja nyanyua silaha zao za mwisho hapo sasa masaa yamebaki machache kwa Kinu cha Uranium kulipuka baada ya tsunami wenye macho kimbieni 10 km radius from the radiation plant. Sisi wenzenu tulioko huku dunia nyingine tunawaombea wapendwa wetu watoke salama!


And for God's sake CHADEMA tukichanga karata zeu vizuri hii nchi tunaichukua kiulani (Ila tu tujue tukiichukua tuna taka ielekee direction gani..maana there are issues to be resolved kwa nchi ilipofika sasa) maana hawa wote wa kambi mbili ni vichaa waliopewa rungu na kila mtu atahakikisha mwenzake amedhibitiwa matokea ni ku support the better devil if there is!
 
Kama unaweza kumpa nchi mcheza disco{jk}kisha ukawazia kumpa mchezesha disco{mbowe} alafu kwa nguvu zenu zote mkataka kumpa msikiliza kwaya za shusho na muhando{slaa}kwanin nchi hii asipewe mfuga ng'ombe coz anachunga vyema ng'mbe zake kuliko kumpa aliyetelekeza kondoo wa bwana?this is it
 
.......Lowassa, ushuri wa bure, hawa wametoka uwanjani, wanajipanga kuja kukusambaratisha, usilale, wakikugusa basi wewe maliza kazi; sikuzimii kivile lakini wewe ni mara mia ya minafiki iliyojaa na kupiga kelele magamba! magamba! huku yenyewe ndo zaidi ya magamba!!!!!
 
Nimefunguka macho leo Kumbe kwenye NEC na CC za watawala salaam ni kwa mkono wa kushoto!!!! Kwa mwendo huo Kumbe ukiingia huko ni mpaka upate orientation ya jinsi ya kusalimiana, kushangilia etc

......inawezekana salamu hii inaambatana na ka-imani kakienyeji (kwa lugha laini) au kaimani ka-kishirikina (kwa lugha ngumu)
 
Achukue mara mbili
unajua nape amekuwa sasa amesoma nykati ..na nadhan kuanzia wiki ijayo upuuzi wa porojo za gamba atakuwa akimweleza mkewe kama anaye ama hawa wake
 
Back
Top Bottom