Bifu la wema na kajala: Usagaji watajwa

Bifu la wema na kajala: Usagaji watajwa

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,899
Reaction score
37,699


Ijumaa Wikenda : Inadaiwa wakati mkiwa na urafiki, mlikuwa mnashiriki mapenzi ya jinsia moja

( Usagaji ). Je ni kweli ?



KAJALA : Ni kweli nilikuwa nalala naye kitanda kimoja, sasa hapo kwenye usagaji nani ‘mwanaume' na nani ' mwanamke'?

IJUMAA WIKENDA : Inasemekana wewe ndiye ulikuwa ‘mwanaume'.

KAJALA : Huuuh….hakuna kitu kama hicho !

SOURCE : Gazeti la Ijumaa wikenda, tarehe 21 APRILI 2014.
 
sijala bado ndo maana sina cha kukoment nicheki baadae nitaandika kitu ...
 
Kwahiyo Wema anamuonea wivu huyo Clement au Kajala?!

- au roho inamuua kwamba mpnz wake kajala(ambaye kwa maneno yake kama ya kweli anaonekana anasagwa) kumuacha kutafuta mwanaume mwingine!.

- au bifu lipo wapi hapo?!
 
Kwahiyo Wema anamuonea wivu huyo Clement au Kajala?!

- au roho inamuua kwamba mpnz wake kajala(ambaye kwa maneno yake kama ya kweli anaonekana anasagwa) kumuacha kutafuta mwanaume mwingine!.

- au bifu lipo wapi hapo?!

Da sijui kwa kweli, ngoja wataalamu wa mambo waje.
 
Back
Top Bottom