Bifu la Eminem na Snoop Dogg

Sio kwamba Eminem anajiona ni rapa bora sana, HAPANA. Ukweli ni kwamba Eminem ni mwanahip hop/rapa bora kabisa kuwahi kutokea hapa duniani. Sio kwamba yeye anahisi hivyo, bali ndivyo ilivyo. Hata Messi tusingemjua bila Barcelona, lakini hiyo haivui ufalme wa Messi katika kandanda.
kweli kabisa
 
ila Em naye kazingua na list yake
seriously unamtaja Redman, Wayne na LL
What about Black Thought, TechNine n Scarface?

Snoop must have been high wakati anatoa comment yake cz kaja na list ya rappers wa 80s wakati Em kaja na two generations (old skul and new skul).
Eminem alihitaji kubalance tu, hakuwa serious iiiiiile... snoop ndo alikuja serious sasa
 
Eti Eminem kolo!!!
Walimwengu bhana!

Inawezekana kabisa nasumbuliwa na kaubaguzi ka rangi mkuu

Binafsi naamini Rap ni mziki wa weusi
Sasa haka kajamaa kamepata kukubalika kiaina na weusi ukija kujumlisha na weupe wenzie kanajikuta kana platform kubwa mnnoo tofauti na mtu kama Snoopy anayekubalika zaidi na majority ya weusi

Siwezi kupinga kwamba hakana mafanikio, yapo makubwa mmno album kanauza balaa na matamasha kanajaza balaa
Ila ukweli ni kwamba kanabebwa zaidi na upande wa pili wa weupe wenzie ingawaje hata weusi mnamkubali
 
Au niite mgongano (maana halijawa bifu 100%, ila nadhani nimeeleweka kwa huo msamiati) Mwaka jana mwishoni kumeibuka msuguano (kutoelewana) kati ya snoop dogg na Eminem.

Kumbuka hawa jamaa wamekuwa karibu kwa mda mrefu bila kusahau wanaunganishwa na Dr Dree (wote ni watu wa karibu na dree na pia wamewahi kufanya baadhi ya kazi pamoja) Nadhani kwa mwaka 2020 kurudi nyuma - ukiulizwa ni watu gani wamekaa pamoja kwenye game mda mrefu bila msuguano ni 50cent, Dr Dree, Eminem na Snoop Dogg.

Nini sababu/chanzo cha bifu la snoop na Eminem (Marshal Mathers) Kwanza inajulikana ukivurugana na Eminem lazma akuchane tu, kama anamchana mama mzazi atakuacha ww?, alipita na Snoop kwenye Zeus ila tuangalie mchezo ulikuaje.

Mwakajana kuna jamaa anaitwa
@NoLifeShaq alipost Twitter na kutaka watu watume best rappers wao. Eminem alicomment na kuwataja Wayne, Pac, Royce, Jay, Redman, Treach, G. Rap, Biggie & King Crook .... Plus Redman, LL, Nas, Joyner, Kendrick, Cole, Andre, Rakim, Kane
View attachment 1687203View attachment 1687204
Snoop nae si akalipa akaja na List yake ya wasanii bora 10 kupitia account yake ya instagram na kuwataja .. “Slick Rick / Ice Cube / L. L. Cool J / K. R. S. 1 / Rakim / Run from Run D.M.C. / D from Run D.M.C. / Big Daddy Kane / Ice T / Too Short.”

Hakuishia hapo,
alifanya interview fulani..na alipoambiwa ataje wasanii anaowakubali alianza kwa kusema Hawa marapa wakizungu hawana heshima na huu mziki wa rap.. Unajua Eminem anajiona kama msanii bora sana, ila ajue asingejulikana wala kuskika kipaji chake bila Dr Dree..
amshkuru sana Dree kwa kumnyanyua ila atambue miaka ya 1980 kulikuwa na wasanii wakali zaidi yake na yupo kwenye game mda mrefu, mashabiri wanamkubali kwa mashairi yake ila akae akitambua bila Dre asingefika hapa
View attachment 1687205
Povu lilikuwa jingi mno.

Hapo ndipo Zeus ikatoka... na Eminem hakuficha, alimtaja snoop Direct huku akisema, nimezoea sana kurushiwa mawe ila sikutegemea kama mawe haya yangerushwa kutoka kwa watu wa upande wangu
.. na kukubali kwamba mchizi nlikuwa namkubali sana hapo mwanzo
ila ndo nagundua kumbe mchizi ni mbwa........alikuwa snoop God but ni real DOG..tena kwa kumuita ZEUS (Mungu mrefu wa kigiriki ambaye hutokea kwa ishara ya radi). Mpaka sasa maneno yamezidi kuwa mengi..
Na kwa namna hiyo (mashabiki wanadhani watu hawa walikuwa hawapatanitoka zamani ila walikuwa hawajapata site ya kuchanana) Grudges are never end.
View attachment 1687206View attachment 1687207
Kuna jamaa alipost insta picha ya Eminem na Snoop na kisema hofu yake juu ya bifu hilo mwaka huu, snoop alicomment na kusema "Hakuna shida, tuko poa" akionyesha hana bifu lolote na Eminem.

Kwenye redio Eminem alikiri kupanic kwasababu hakutegemea Snoop kuongea vile,.. alichosema Snoop ni kweli kabisa, mimi sio kitu bila Dr Dre lakini imekuwaje Snoop akayasema yote hayo na kikubwa style (tone) ya snoop kwenye kuelezea hayo ndiyo iliyonikera.
View attachment 1687208
Nnachofurahi naweza kuishi bila hayo/yeye, jamaa kanivunjia heshima sana Baada ya washkaji wengi kumtaka Snoop ajibu, alicomment kwa mtu mmoja huko insta “Pray I don’t answer that soft ass shit.”
Kwa hiyo tufanyeje sasa, wanatuhusu nini hawa?
 
pasipo hao akina snoop ,dre ,tupac ,notorious big ,ice cube coolio nisingejua mziki wa rap wa marekani enzi za miaka ya 90 sikumsikia huyo zeruzeru eminem
Ni mzungu sio zeruzeru
Ukali wa mtu unathibitishwa na watu wanavyonunua kazi yako, Kama ulikuwa humjui ni kutokana na ushamba wako

Eminem ndio best selling rap artist of all the time with more than 225 million units sold
 
Back
Top Bottom