jambo la pili wachangiaji mnalochemsha ni kudai vyombo vya Tanzania vinatafsiri habari za goal.com au the sun etc, binafsi naamini hiyo ni kawaida kwenye vyombo vingi duniani,mana hata hao goal hutoa taarifa the sun, independent etc na habari za nje ya uingereza hutolewa labda marcia spain, bild ujerumani, L'equipe ufaransa au gazette dello sport Italia, sasa na wao wanakopi?Unataka kuniambia wewe ukienda goal leo ukasoma habari inayotoka America kusini iliandikwa na mwandishi wa goal toka Brazil au Peru?