Bifu gani ilitikisa Taifa?

bifu la milele ni:-
Dar vs Mkoani.
»wakazi wa dar wanajiona wao ni bora zaidi hapa TZ.
»wakazi wa mkoani wanawaona watu wa dar km wazembe wazembe jazz band, eti wanapenda kazi laini laini km MAINI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…