RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Tumezoea kusikia neno wanyonge katika serikali ya awamu ya sita kuwa ni kejeli iliyopitiliza kwa watanzania ! Katika pitapita zangu mikoa mbalimbali hususan kagera kigoma mwanza na mara na shinyanga walalamikia vifaa vya ujenzi bei zake kuwa juu mfano cement kwa mkoa wa shinyanga tsh 21000/= tofauti na awali ilikuwa tsh 16000/= mwanza kwa sasa bei ya cement sh 23000/= mara msoma tsh 25,000/= , kagera na kigoma tsh 25000/=!
Nishat mafta petrol lita @1 mwanza tsh 2720/=; shinyanga tsh 2640/= kagera na kigoma 2820/= awali mafta yalitapatikana kwa kila lita tsh 1810/= kwa sasa mambo yamebadilika sukar mafta ya kupikia hvohvo bei ipo juu!
Baadhi ya vijana wamesema kwa sasa ni vigumu sana kuwekeza pesa kwenye ujenzi kwan vifaa vya ujenzi vipo juu na maisha kwa ujumla yamekuwa magumu.
Kwa vile MHESHIMIWA RAISI SAMIA SULUHU HASSAN tunaomba tupia jicho kwenye wizara husika hali ni ngumu huku mitaan jua kali pesa hamna
. NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
KAZI IENDELEEE!
Nishat mafta petrol lita @1 mwanza tsh 2720/=; shinyanga tsh 2640/= kagera na kigoma 2820/= awali mafta yalitapatikana kwa kila lita tsh 1810/= kwa sasa mambo yamebadilika sukar mafta ya kupikia hvohvo bei ipo juu!
Baadhi ya vijana wamesema kwa sasa ni vigumu sana kuwekeza pesa kwenye ujenzi kwan vifaa vya ujenzi vipo juu na maisha kwa ujumla yamekuwa magumu.
Kwa vile MHESHIMIWA RAISI SAMIA SULUHU HASSAN tunaomba tupia jicho kwenye wizara husika hali ni ngumu huku mitaan jua kali pesa hamna
. NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
KAZI IENDELEEE!