Hongera maelezo yakutosha umetoapia kuna vibegi vya wadada na vipochi ukifuma belo zuri unauza kuanzia 15 hadi 35 utapata sana faida...
Kunaa mabegi ya watoto (wanafunzi) kuelekea january ukiweka bei vizuri utapata pia pesa.
Hivi mashuka mazuri kabisa yale sita kwa sita na kuendelea Bei ya jumla unaweza yapata kwa sh ngapi?Nguo za watoto wengi sana wanafanya ushindani upo juu.....
Sidiria zinatoka
Mashuka ukifanya kwa kutembeza majumbani ipo poa.....ila ni biashara ya mkopo naonaga yani unakopesha kwa elfu 15 maybe ndanu ya week unafuata pesa....inachangamoto zake
Bello wanakata 820k na nusu bello 410k ...yanauzwa nusu au bello zima pekee futi 8*8 au 8*9 .... mazito cotton na hayachuji wala upele...haya ni yale mabelo yanayofungulia ..bei ya reja sis tunauza elfu 50 pair 2 na foronya 4Hivi mashuka mazuri kabisa yale sita kwa sita na kuendelea Bei ya jumla unaweza yapata kwa sh ngapi?
Hilo linakua na mashuka kama mangapi?Bello wanakata 820k na nusu bello 410k ...yanauzwa nusu au bello zima pekee futi 8*8 au 8*9 .... mazito cotton na hayachuji wala upele...haya ni yale mabelo yanayofungulia ..bei ya reja sis tunauza elfu 50 pair 2 na foronya 4
Bello linakuwa na shuka ngapi?Bello wanakata 820k na nusu bello 410k ...yanauzwa nusu au bello zima pekee futi 8*8 au 8*9 .... mazito cotton na hayachuji wala upele...haya ni yale mabelo yanayofungulia ..bei ya reja sis tunauza elfu 50 pair 2 na foronya 4
Shuka 24 hadi 25Hilo linakua na mashuka kama mangapi?
Shuka 24 had 25Bello linakuwa na shuka ngapi?
Yote hiyo ni sawa tu, ila usinunue vifaru vya urusi; vitakupasukia njiani.Naomba ushauri bidhaa ipi ya mtumba ni inatoka na ina faida zaidi.
1. Magauni
2.Nguo za watoto mix
3. Mashuka
4.Mashati
6.Sidiria
Na vipi bei ya belo kwa bidhaa hapo juu?