Biden invited 110 Countries - Summit for Democracy, Tanzania mpya haimo!

Imesemwa mara nyingi kwamba (hapa jirani) kundi letu sisi la chanda na pete ni:

1. Tanzania, Mozambique, Zimbabwe, Rwanda, Burundi na Uganda. Tambua hakuna mmojawapo kaalikwa.

Upande mwingine kundi wengine ni:

2. Kenya, Malawi, Zambia, na Afrika Kusini. Hawa wamealikwa.

#1 ni dhulumati, wauwaji, wakandamizaji, hakuna demokrasia, nchi kama zimetukwaza nyara nk.

#2 Demokrasia imetamalaki, maisha murua, mahakama huru, haki za binadamu zinaheshimiwa, nk.

Enyi mnaoojita viongozi na timu yenu pichani mnatuaharibia nchi:

View attachment 2022010

Mapenzi yenu na vifua vya tembo ni nyongeza tu katika ubora wenu!
Hatua aliyofanya Joe Biden ya kuwaweka hadharani Wanafiki amchambua Mchele pembeni na Pumba pembeni
 
4d4d95e733554237aac1f6eedf4e0fbb_18.jpeg


Police force ferry passengers to lie down after firing tear gas and detaining them in Mombasa, Kenya [The Associated Press]


22 Apr 2020 — At least six people died from police violence during the first 10 days of Kenya's dusk-to-dawn curfew, imposed on March 27, 2020

Msingi wa demokrasia ni pamoja na kuheshimu haki za kibanadamu. Wakati wa lockdown watu walikuwa wanapigwa mkong'oto na police.
Haki ya mtu kutoka uliko kurejea nyumbani au kwenda kutafuta ugali ilipuuzwa kabisa.

Ukiniambia police, nasema wazi, Tanzania police wetu hawana ukatili/unyama kama walio nao jirani +254.

Kama unaongea demokrasia au haki za ki-utu, basi Kenya record yao bado iko chini sana kuliko hapa Tz.

Ninaweza kukubali, police wetu kuwa na dosari za hapa na pale kwenya kufuata sheria, ila police wa 254 ni wabaya na wakatili, wala rushwa waziwazi mara kubwa zaidi ya vijana wa Simon Sirro.
mtajua hamjui. Sasa kenya unataka kuilinganisha na upuuzi gani mwingine?
 
Kwa taarifa mpya soma IDEA Report; ya state of democracy in US ya mwaka huu. US imekuwa listed as 'Backsliding' democracy.

Hiyo ni ripoti ya wazungu wenyewe. Sasa hawana jipya kutufundisha kuhusu democracy. Tujadili mambo ya nchi yetu bila kufikiria wazungu.
Na wewe usitulishe "matango pori" yako na kutupotosha hapa....

Una maana gani kusema ".........bila kufikiria wazungu...??"

Nani kakuambia Marekani [USA] ni nchi ya wazungu...?
 
Na wewe usitulishe "matango pori" yako na kutupotosha hapa....

Una maana gani kusema ".........bila kufikiria wazungu...??"

Nani kakuambia Marekani [USA] ni nchi ya wazungu...?
Aah na hili tujadili? Wahindi wekundu walimezwa na hao Waafrika wenzetu kwa US ni kama walowezi tu wanaobaguliwa. Ok kwa kifupi US si Mwalimu bora wa democracy . Period!
 
Mbuyu ulianza kama uyoga. Viongozi wa CCM na Tanzania: hivi likitokea kundi la ma captain wakaangusha serikali kwa sababu tu ya nafasi ngumu waliyotuweka kidemokrasia na kiutawala bora mtamlilia nani? Mtajiteteaje kwenye jumuia za kimataifa? Nyie katika kundi la watanzania milioni 60 mko 2000 tu (0.00000033%) lakini mnatuponza! Jifikirieni.
Siyo lazima jeshi liingilie.

Watakaotuponza ni hao MaCCM.
 
4d4d95e733554237aac1f6eedf4e0fbb_18.jpeg


Police force ferry passengers to lie down after firing tear gas and detaining them in Mombasa, Kenya [The Associated Press]


22 Apr 2020 — At least six people died from police violence during the first 10 days of Kenya's dusk-to-dawn curfew, imposed on March 27, 2020

Msingi wa demokrasia ni pamoja na kuheshimu haki za kibanadamu. Wakati wa lockdown watu walikuwa wanapigwa mkong'oto na police.
Haki ya mtu kutoka uliko kurejea nyumbani au kwenda kutafuta ugali ilipuuzwa kabisa.

Ukiniambia police, nasema wazi, Tanzania police wetu hawana ukatili/unyama kama walio nao jirani +254.

Kama unaongea demokrasia au haki za ki-utu, basi Kenya record yao bado iko chini sana kuliko hapa Tz.

Ninaweza kukubali, police wetu kuwa na dosari za hapa na pale kwenya kufuata sheria, ila police wa 254 ni wabaya na wakatili, wala rushwa waziwazi mara kubwa zaidi ya vijana wa Simon Sirro.
Yote kwa yote huwezi fananisha na haya makatili ya huku
 
Tanzania tayari tunademokrasia karibu sawa na Marekani,

Unataka atualike tujafanye nini?

Mwenye Afya hahitaji Tabibu mkuu
We jamaa mbna unawaza hovyo hivi ...Kwahyo licha ya kufungua nchi unahisi Kama Tanzania ingekuwa na demokrasia isingeiiitwaa????

Jitambue wewe..

HAKUNA DEMOKRASIA HAPA DANGANYIKA
 
Summit for Democracy: Invited Participants

Albania
Angola
Antigua and Barbuda
Argentina
Armenia
Australia
Austria
Bahamas
Barbados
Belgium
Belize
Botswana
Brazil
Bulgaria
Cabo Verde
Canada
Chile
Colombia
Costa Rica
Croatia
Cyprus
Czech Republic
Democratic Republic of Congo
Denmark
Dominica
Dominican Republic
Ecuador
Estonia
Fiji
Finland
France
Georgia
Germany
Ghana
Greece
Grenada
Guyana
Iceland
India
Indonesia
Iraq
Ireland
Israel
Italy
Jamaica
Japan
Kenya
Kiribati
Kosovo
Latvia
Liberia
Lithuania
Luxembourg
Malawi
Malaysia
Maldives
Malta
Marshall Islands
Mauritius
Mexico
Micronesia
Moldova
Mongolia
Montenegro
Namibia
Nauru
Nepal
Netherlands
New Zealand
Niger
Nigeria
North Macedonia
Norway
Pakistan
Palau
Panama
Papua New Guinea
Paraguay
Peru
Philippines
Poland
Portugal
Romania
Saint Kitts and Nevis
Saint Lucia
Saint Vincent and the Grenadines
Samoa
Sao Tome and Principe
Senegal
Serbia
Seychelles
Slovakia
Slovenia
Solomon Islands
South Africa
South Korea
Spain
Suriname
Sweden
Switzerland
Taiwan
Timor-Leste
Tonga
Trinidad and Tobago
Tuvalu
Ukraine
United Kingdom
Uruguay
Vanuatu
Zambia


Acha awaalike wenye kukubali ndoa za jinsia moja. Tuone fahari kutoalikwa mikutano ya kutaka kuteka akili zetu. La msingi tuelewe nia ya marekana sio njema wala haojawahi kua njema kwa nchi changa kama zetu. Hao ni kinara wa mabeberu.
Ona nchi zenye kujitambua na wapambanaji dhidi ya ubeberu kama china, cuba, urusi, venezuela, vietnam, na nyingi zingine hazipo kwenye hiyo orodha. Pia zipo nchi zimealikwa ila zina msimamo wake usiyoyumba. Kuna vibaraka nchini wataona kama issue kutoalikwa na marekani wengine wapo ndani ya serikali ya mama.
 
Back
Top Bottom