Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Kutoalikww sio kujitengaUnaanzaje kwa mfano kujitenga nao???
Kutoalikww sio kujitengaUnaanzaje kwa mfano kujitenga nao???
Hatua aliyofanya Joe Biden ya kuwaweka hadharani Wanafiki amchambua Mchele pembeni na Pumba pembeniImesemwa mara nyingi kwamba (hapa jirani) kundi letu sisi la chanda na pete ni:
1. Tanzania, Mozambique, Zimbabwe, Rwanda, Burundi na Uganda. Tambua hakuna mmojawapo kaalikwa.
Upande mwingine kundi wengine ni:
2. Kenya, Malawi, Zambia, na Afrika Kusini. Hawa wamealikwa.
#1 ni dhulumati, wauwaji, wakandamizaji, hakuna demokrasia, nchi kama zimetukwaza nyara nk.
#2 Demokrasia imetamalaki, maisha murua, mahakama huru, haki za binadamu zinaheshimiwa, nk.
Enyi mnaoojita viongozi na timu yenu pichani mnatuaharibia nchi:
View attachment 2022010
Mapenzi yenu na vifua vya tembo ni nyongeza tu katika ubora wenu!
Ndio mtajua hamjui. Pumba kule mchele hapa.Je huko marekani kwenyewe kuna Democarasia.?
mtajua hamjui. Sasa kenya unataka kuilinganisha na upuuzi gani mwingine?
Police force ferry passengers to lie down after firing tear gas and detaining them in Mombasa, Kenya [The Associated Press]
Kenya police under fire over ‘excessive force’ as curfew begins
Police fire tear gas and beat commuters with batons as country imposes dusk-to-dawn measure amid coronavirus fight.www.aljazeera.com
22 Apr 2020 — At least six people died from police violence during the first 10 days of Kenya's dusk-to-dawn curfew, imposed on March 27, 2020
Kenya: Police Brutality During Curfew
At least six people died from police violence during the first 10 days of Kenya’s dusk-to-dawn curfew, imposed on March 27, 2020 to contain the spread of Covid-19, Human Rights Watch said today.www.hrw.org
Msingi wa demokrasia ni pamoja na kuheshimu haki za kibanadamu. Wakati wa lockdown watu walikuwa wanapigwa mkong'oto na police.
Haki ya mtu kutoka uliko kurejea nyumbani au kwenda kutafuta ugali ilipuuzwa kabisa.
Ukiniambia police, nasema wazi, Tanzania police wetu hawana ukatili/unyama kama walio nao jirani +254.
Kama unaongea demokrasia au haki za ki-utu, basi Kenya record yao bado iko chini sana kuliko hapa Tz.
Ninaweza kukubali, police wetu kuwa na dosari za hapa na pale kwenya kufuata sheria, ila police wa 254 ni wabaya na wakatili, wala rushwa waziwazi mara kubwa zaidi ya vijana wa Simon Sirro.
Hatua aliyofanya Joe Biden ya kuwaweka hadharani Wanafiki amchambua Mchele pembeni na Pumba pembeni
Hili ni pigo kwao pia. Chifu alienda kujipendekeza akadhani yameisha.Hawa kina katelefoni wanatuharibia sana nchi
Na wewe usitulishe "matango pori" yako na kutupotosha hapa....Kwa taarifa mpya soma IDEA Report; ya state of democracy in US ya mwaka huu. US imekuwa listed as 'Backsliding' democracy.
Hiyo ni ripoti ya wazungu wenyewe. Sasa hawana jipya kutufundisha kuhusu democracy. Tujadili mambo ya nchi yetu bila kufikiria wazungu.
Aah na hili tujadili? Wahindi wekundu walimezwa na hao Waafrika wenzetu kwa US ni kama walowezi tu wanaobaguliwa. Ok kwa kifupi US si Mwalimu bora wa democracy . Period!Na wewe usitulishe "matango pori" yako na kutupotosha hapa....
Una maana gani kusema ".........bila kufikiria wazungu...??"
Nani kakuambia Marekani [USA] ni nchi ya wazungu...?
Siyo lazima jeshi liingilie.Mbuyu ulianza kama uyoga. Viongozi wa CCM na Tanzania: hivi likitokea kundi la ma captain wakaangusha serikali kwa sababu tu ya nafasi ngumu waliyotuweka kidemokrasia na kiutawala bora mtamlilia nani? Mtajiteteaje kwenye jumuia za kimataifa? Nyie katika kundi la watanzania milioni 60 mko 2000 tu (0.00000033%) lakini mnatuponza! Jifikirieni.
Na udikteta ni uzushi pia!!?Demokrasia ni uzushi tu.
Burundi, Rwanda, Uganda na Tanzania nje, aibu sn na hongera kwa wakenya
Hongera mkuuMie nipo Hapa Kenya jamaa wapo vizur
Yote kwa yote huwezi fananisha na haya makatili ya huku
Police force ferry passengers to lie down after firing tear gas and detaining them in Mombasa, Kenya [The Associated Press]
Kenya police under fire over ‘excessive force’ as curfew begins
Police fire tear gas and beat commuters with batons as country imposes dusk-to-dawn measure amid coronavirus fight.www.aljazeera.com
22 Apr 2020 — At least six people died from police violence during the first 10 days of Kenya's dusk-to-dawn curfew, imposed on March 27, 2020
Kenya: Police Brutality During Curfew
At least six people died from police violence during the first 10 days of Kenya’s dusk-to-dawn curfew, imposed on March 27, 2020 to contain the spread of Covid-19, Human Rights Watch said today.www.hrw.org
Msingi wa demokrasia ni pamoja na kuheshimu haki za kibanadamu. Wakati wa lockdown watu walikuwa wanapigwa mkong'oto na police.
Haki ya mtu kutoka uliko kurejea nyumbani au kwenda kutafuta ugali ilipuuzwa kabisa.
Ukiniambia police, nasema wazi, Tanzania police wetu hawana ukatili/unyama kama walio nao jirani +254.
Kama unaongea demokrasia au haki za ki-utu, basi Kenya record yao bado iko chini sana kuliko hapa Tz.
Ninaweza kukubali, police wetu kuwa na dosari za hapa na pale kwenya kufuata sheria, ila police wa 254 ni wabaya na wakatili, wala rushwa waziwazi mara kubwa zaidi ya vijana wa Simon Sirro.
We jamaa mbna unawaza hovyo hivi ...Kwahyo licha ya kufungua nchi unahisi Kama Tanzania ingekuwa na demokrasia isingeiiitwaa????Tanzania tayari tunademokrasia karibu sawa na Marekani,
Unataka atualike tujafanye nini?
Mwenye Afya hahitaji Tabibu mkuu
Acha awaalike wenye kukubali ndoa za jinsia moja. Tuone fahari kutoalikwa mikutano ya kutaka kuteka akili zetu. La msingi tuelewe nia ya marekana sio njema wala haojawahi kua njema kwa nchi changa kama zetu. Hao ni kinara wa mabeberu.Summit for Democracy: Invited Participants
Albania
Angola
Antigua and Barbuda
Argentina
Armenia
Australia
Austria
Bahamas
Barbados
Belgium
Belize
Botswana
Brazil
Bulgaria
Cabo Verde
Canada
Chile
Colombia
Costa Rica
Croatia
Cyprus
Czech Republic
Democratic Republic of Congo
Denmark
Dominica
Dominican Republic
Ecuador
Estonia
Fiji
Finland
France
Georgia
Germany
Ghana
Greece
Grenada
Guyana
Iceland
India
Indonesia
Iraq
Ireland
Israel
Italy
Jamaica
Japan
Kenya
Kiribati
Kosovo
Latvia
Liberia
Lithuania
Luxembourg
Malawi
Malaysia
Maldives
Malta
Marshall Islands
Mauritius
Mexico
Micronesia
Moldova
Mongolia
Montenegro
Namibia
Nauru
Nepal
Netherlands
New Zealand
Niger
Nigeria
North Macedonia
Norway
Pakistan
Palau
Panama
Papua New Guinea
Paraguay
Peru
Philippines
Poland
Portugal
Romania
Saint Kitts and Nevis
Saint Lucia
Saint Vincent and the Grenadines
Samoa
Sao Tome and Principe
Senegal
Serbia
Seychelles
Slovakia
Slovenia
Solomon Islands
South Africa
South Korea
Spain
Suriname
Sweden
Switzerland
Taiwan
Timor-Leste
Tonga
Trinidad and Tobago
Tuvalu
Ukraine
United Kingdom
Uruguay
Vanuatu
Zambia
Participant List - The Summit for Democracy - United States Department of State
Summit for Democracy: Invited Participants Albania Angola Antigua and Barbuda Argentina Armenia Australia Austria Bahamas Barbados Belgium Belize Botswana Brazil Bulgaria Cabo Verde Canada Chile Colombia Costa Rica Croatia Cyprus Czech Republic Democratic Republic of Congo Denmark Dominica...www.state.gov
Nimesema kujitenga kulingana na ignorance uliyoionyesha kwao kweny text yakoKutoalikww sio kujitenga