Ila pia zipo facts zaidi kama kupandisha minimum wage iwe dola 15 kwa saa ni zaidi ya mara mbili ya kiwango cha sasa.
Pili, Marekani wamekuwa wakificha ukweli kwamba nchi ipo katiu a kile kipindi cha economic depression kwamba idadi kubwa ya watu hawana kazi na wategemea handouts na food banks au charities kusukuma siku.
All in all nyuma ya pazia jeshi na Intel people watakuwa happy maana ni factions zao tu ndizo zilikuwa kwa Trump.
Wasiwasi wangu ni Military na Intel kuanza kutafuta wapi pa kupata ugomvi kwa kutumia the same foreign police yao.
Trump alikuwa anaivuruga FP kwa kuamua mambo yake kivyake bila kufuata ushauri na kile kitendo cha kumuua yule general wa Iran kwa kasi fulani kimeleta damage ya kufdumu kwenye uhusiano na Iran.
Trust me, hizo sababu zingine zingekuwa ni za muhimu sana basi ingejionyesha kwenye sanduku la kura!
Otherwise, unaelezea vipi GOP kuendelea kuwa na majority kwenye senate, unaelezea vipi GOP ku narrow gap ya members of House of Representatives?
Democrats hawajashinda hata kiti kimoja kilichokuwa kinakaliwa na Republican kwenye house.
Hii ilikuwa ni referendum ya mtu, the man, Donald Trump.
Unajua kuwa Mitt Romney, 2012 GOP nominee hakumpigia kura Trump?
Ulimwona G.W. Bush akimpigia kampeni Trump?
Mbona Obama alikuwa anampigia kampeni Biden.
Mke wa John McCain, 2008 GOP nominee alimu endorse Biden.
Na unajua kwa nini Biden kashinda hata Arizona? Home state ya McCain.
Arizona ni red state.
Trump, baada ya McCain kufa, hakwenda hata kwenye msiba wake. Bado akaendeleza bifu na marehemu.
Rais mzima unamsema vibaya mtu ambaye keshakufa??
Trump hakwenda hata kwenye msiba wa First Lady Barbara Bush!
Hata kwenye msiba wa Rais Bush, hakwenda.
Ilhali marais wengine wote walio hai, walienda kwenye hiyo misiba.
Character ya Trump ina flaws nyingi sana.