simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,707
- 9,593
Why are bikes so expensive?Unajua kuna bike za $10,000? Tafuta bikes zilizotengenezwa na carbon materials mkuu.
If you are a bike avid the brand & parts can tell
Why are bikes so expensive?Unajua kuna bike za $10,000? Tafuta bikes zilizotengenezwa na carbon materials mkuu.
If you are a bike avid the brand & parts can tell
spea sasa uku kwetu kuzipata ndio shida
Jamani laki name kwa bike used ni ghali, mi nilinunua Giant ya mtumba laki moja Na nusu. Labda kama mwaweza kutuambia unaposema specialized unazungumzia mini hasa inayoifanya iwe specialized?Kuna kampuni moja ilikuwa Arush miaka ya 2010 /2011 walikuwa wanauza na ku service specialized bikes. Na bike ya bei ya chini ilikuwa ni $800.
Mwendo wa shimano! Ni kampuni ya wazungu na kwa sasa imejikita kwenye Bicycle safaris peke yake.
Jamani laki name kwa bike used ni ghali, mi nilinunua Giant ya mtumba laki moja Na nusu. Labda kama mwaweza kutuambia unaposema specialized unazungumzia mini hasa inayoifanya iwe specialized?
)