Biblia na reference ya vitabu vya kipagani

kama unadhani biblia yako ni kitabu cha maana sana,soma hapa;



YEHOVA ARUHUSU WATU KULA WATOTO WAO

Kumbukumbu la Torati 28:53

53 Nawe utakula uzao wa tumbo lako mwenyewe, nyama ya wana wako na binti zako aliokupa Bwana, Mungu wako; katika mazingirwa na katika mkazo utakaokazwa na adui zako.



YEHOVA KUWAPAKA MAVI MAKUHANI

Malaki 2:1-3

2 Kama hamtaki kusikia, na kama hamtaki kuitia moyoni, ili kulitukuza jina langu, asema Bwana wa majeshi, basi nitawapelekeeni laana, nami nitazilaani baraka zenu; naam, nimekwisha kuzilaani, kwa sababu hamyatii haya moyoni.

3 Angalieni, nitaikemea mbegu kwa ajili yenu, nami nitapaka nyuso zenu mavi, naam, mavi ya vyakula vyenu; nanyi mtaondolewa pamoja nayo



YESU AWAAMBIA WAFUASI WAKE WANUNUE MAPANGA

Luka 22:36

Akawaambia, Lakini sasa mwenye mfuko na auchukue, na mkoba vivyo hivyo; naye asiye na upanga, na auze joho yake akanunue.

YEHOVA HATAKI BINADAMU AJUE MEMA NA MABAYA

Mwanzo 3:22

Kisha Mwenyezi-Mungu akasema, “Sasa, binadamu amekuwa kama mmoja wetu, anajua mema na mabaya. Lazima kumzuia kula lile tunda la mti wa uhai, kwani akilila ataishi milele!”



YEHOVA AUA HALAIKI NA KUWAACHA BIKRA

HESABU 31:15-17

15 Kwa hiyo Musa akawaambia: “Je, mmemhifadhi hai kila mwanamke?+ 16 Tazama! Hao ndio, kupitia kwa neno la Balaamu, waliowashawishi wana wa Israeli kukosa uaminifu+ kwa Yehova juu ya lile jambo la Peori,+ hivi kwamba tauni ikaja juu ya kusanyiko la Yehova.+ 17 Na sasa ueni kila mtoto wa kiume, na kumuua kila mwanamke ambaye amefanya ngono na mtu kwa kulala na mwanamume


YEHOVA ATAKA WATU WATII SERIKALI HATA KAMA HAIKUCHAGULIWA NA WATU

Warumi 13

13 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu.


YEHOVA MUASISI WA MFUMO-DUME

1 timotheo 2:11-12

11 Mwanamke na ajifunze akiwa kimya na kwa kujitiisha kikamili.+ 12 Simruhusu mwanamke kufundisha,+ wala kuwa na mamlaka juu ya mwanamume,+ bali kuwa kimya.



YEHOVA,MUASISI WA UTUMWA

Mwanzo 9:25-27

25 Basi akasema:“Alaaniwe Kanaani.

Na awe mtumwa wa hali ya chini kabisa kwa ndugu zake.”26 Naye akasema tena:“Abarikiwe Yehova, Mungu wa Shemu,Kanaani na awe mtumwa wake. 27 Mungu na ampe Yafethi nafasi ya kutosha,Akae katika mahema ya Shemu. Kanaani na awe mtumwa wake pia.”



PONOGRAFIA NDANI YA BIBLIA

Ezekieli 23:20

Aliwatamani sana wanaume wenye uume kama wa punda na manii kama farasi dume.”

YEHOVA BINGWA WA KUKOMOA NA KUTESA

Kumbukumbu la torati 28:28-35

28 Yehova atakupiga kwa wazimu+ na kupoteza uwezo wa kuona+ na kuchanganyikiwa kwa moyo.+ 29 Nawe kwa kweli utakuwa mtu anayepapasa-papasa katikati ya mchana, kama vile kipofu anavyopapasa-papasa gizani,+ nawe hutafanya njia zako zifanikiwe; nawe utakuwa mtu tu ambaye sikuzote hupunjwa na kunyang’anywa, pasipo mtu wa kukuokoa.+ 30 Utamchumbia mwanamke, lakini mwanamume mwingine atamlala kinguvu.+ Utajenga nyumba, lakini hutakaa ndani yake.+ Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutaanza kutumia matunda yake.+ 31 Ng’ombe-dume wako atachinjwa hapo mbele ya macho yako—lakini hutakula sehemu yoyote yake. Utanyang’anywa punda wako mbele ya uso wako—lakini hatarudi kwako. Kondoo wako watapewa adui zako—lakini hutakuwa na mwokozi yeyote.+ 32 Wana wako na binti zako watapewa watu wengine+ na macho yako yakitazama na kuwatamani sikuzote—lakini mikono yako itakuwa haina nguvu.+ 33 Mazao ya udongo wako na mazao yako yote yataliwa na watu ambao hukuwajua;+ nawe utakuwa mtu aliyepunjwa na kupondwa sikuzote.+ 34 Nawe utatiwa wazimu kwa kuona kwa macho yako mambo ambayo utaona.+ 35 “Yehova atakupiga kwa jipu hatari kwenye magoti yote mawili na miguu yote miwili, ambalo hutaweza kupona, kutoka wayo wa mguu wako mpaka utosi wa kichwa chako

YEHOVA AHAMASISHA WATU WAPIGANE

Kumbukumbu la torati 25:11

11 “Ikiwa wanaume wawili watapambana pamoja, na mke wa mmoja awe amekuja karibu ili kumkomboa mume wake kutoka mkononi mwa yule anayempiga, naye ameunyoosha mkono wake na kumkamata sehemu zake za siri,+ 12 basi ukate mkono wa mwanamke huyo.

YEHOVA APANDISHA JAZBA,AUA WATOTO 42 PAPO HAPO

2 wafalme 2:23-25

3 Naye akapanda kutoka hapo mpaka Betheli.+ Alipokuwa akipanda njiani, tazama, palikuwa na wavulana+ wadogo waliotoka katika jiji, nao wakaanza kumdhihaki,+ wakazidi kumwambia: “Nenda juu, wewe kipara!+ Nenda juu, wewe kipara!” 24 Mwishowe akageuka nyuma, akawaona, naye akawalaani+ katika jina la Yehova. Ndipo dubu-jike+ wawili wakatoka katika vichaka, wakaanza kuwararua vipande-vipande watoto 42 kati yao.+ 25 Naye akaendelea kutoka hapo mpaka Mlima Karmeli,+ na kutoka hapo akarudi Samaria.



YEHOVA APITISHA ADHABU YA KIFO KWA MLEVI

Kumbukumbu la torati 21:18-21

“Ikiwa mtu atakuwa na mwana ambaye ni mkaidi na mwasi,+ awe hasikilizi sauti ya baba yake au sauti ya mama yake,+ nao wamemrekebisha bali yeye hawasikilizi,+ 19 baba yake na mama yake watamshika na kumtoa nje mpaka kwa wanaume wazee wa jiji lake na kwenye lango la mahali pake,+ 20 nao watawaambia wanaume wazee wa jiji lake, ‘Huyu mwana wetu ni mkaidi na mwasi; hasikilizi sauti yetu,+ ni mlafi+ na mlevi.’+ 21 Ndipo watu wote wa jiji watampiga kwa mawe, naye lazima afe.



YEHOVA ANYANYAPAA VILEMA,WENYE PUA PANA(KAMA zA WATU WEUSI)

Mambo ya walawi 21:17-23

17 “Sema na Haruni, na kumwambia, ‘Mtu yeyote wa uzao wako katika vizazi vyao vyote ambaye ana kasoro+ asije karibu ili kuutoa mkate wa Mungu wake.+ 18 Ikiwa kuna mtu yeyote mwenye kasoro, asikaribie: mtu aliye kipofu au kilema au mwenye pua pana au mwenye kiungo kimoja kilicho kirefu mno,+ 19 au mtu aliyevunjika mguu au aliyevunjika mkono, 20 au mwenye kijongo au aliyekonda au mwenye ugonjwa wa macho au mwenye vigaga au mwenye mba au aliyevunjwa mapumbu yake.+ 21 Mtu yeyote wa uzao wa Haruni kuhani ambaye ana kasoro hatakaribia ili kutoa matoleo ya Yehova kwa njia ya moto.+ Kuna kasoro ndani yake. Hatakaribia ili kuutoa mkate wa Mungu wake.+ 22 Anaweza kula mkate wa Mungu wake kutoka kati ya vitu vitakatifu zaidi+ na kutoka kati ya vitu vitakatifu.+ 23 Hata hivyo, hatakaribia pazia,+ wala hatakaribia madhabahu,+ kwa sababu kuna kasoro ndani yake;+ naye hatapatia unajisi patakatifu pangu,+ kwa kuwa mimi ni Yehova ninayewatakasa wao.



YEHOVA AFANYA MAUAJI YA HALAIKI,AUA WATOTO WACHANGA HADI WANYAMA

1 samweli 15:3

3 Sasa nenda, umpige Amaleki,+ umwangamize+ pamoja na vitu vyote alivyo navyo, usimhurumie, nawe uwaue,+ mwanamume na mwanamke, mtoto na mtoto anayenyonya,+ ng’ombe pamoja na kondoo, ngamia pamoja na punda.’



YEHOVA APATA KIU YA DAMU YA BINADAMU

Mwanzo 22:2

Mungu akamwambia, “Mchukue mwanao, Isaka, mwanao wa pekee umpendaye, uende mpaka nchi ya Moria, ukamtoe sadaka ya kuteketezwa juu ya mlima mmojawapo nitakaokuonesha.”



YESU AWATAKA WATUMWA KUTII MABWANA WAKATILI

1 Petro 2:18

18 Ninyi watumwa, watiini mabwana wenu kwa heshima yote, si wale mabwana walio wapole na wema peke yao, bali hata wale walio wakali.
 
mungu wa hivi hawezi kuaminiwa aisee labda uniambie watu tu waliamua kukaa chini na kuandika script kwa ajili ya muvi za hollywood



YEHOVA ARUHUSU WATU KULA WATOTO WAO

Kumbukumbu la Torati 28:53

53 Nawe utakula uzao wa tumbo lako mwenyewe, nyama ya wana wako na binti zako aliokupa Bwana, Mungu wako; katika mazingirwa na katika mkazo utakaokazwa na adui zako.



YEHOVA KUWAPAKA MAVI MAKUHANI

Malaki 2:1-3

2 Kama hamtaki kusikia, na kama hamtaki kuitia moyoni, ili kulitukuza jina langu, asema Bwana wa majeshi, basi nitawapelekeeni laana, nami nitazilaani baraka zenu; naam, nimekwisha kuzilaani, kwa sababu hamyatii haya moyoni.

3 Angalieni, nitaikemea mbegu kwa ajili yenu, nami nitapaka nyuso zenu mavi, naam, mavi ya vyakula vyenu; nanyi mtaondolewa pamoja nayo

YESU AWAAMBIA WAFUASI WAKE WANUNUE MAPANGA

Luka 22:36

Akawaambia, Lakini sasa mwenye mfuko na auchukue, na mkoba vivyo hivyo; naye asiye na upanga, na auze joho yake akanunue.


YEHOVA HATAKI BINADAMU AJUE MEMA NA MABAYA

Mwanzo 3:22

Kisha Mwenyezi-Mungu akasema, “Sasa, binadamu amekuwa kama mmoja wetu, anajua mema na mabaya. Lazima kumzuia kula lile tunda la mti wa uhai, kwani akilila ataishi milele!”



YEHOVA AUA HALAIKI NA KUWAACHA BIKRA

HESABU 31:15-17

15 Kwa hiyo Musa akawaambia: “Je, mmemhifadhi hai kila mwanamke?+ 16 Tazama! Hao ndio, kupitia kwa neno la Balaamu, waliowashawishi wana wa Israeli kukosa uaminifu+ kwa Yehova juu ya lile jambo la Peori,+ hivi kwamba tauni ikaja juu ya kusanyiko la Yehova.+ 17 Na sasa ueni kila mtoto wa kiume, na kumuua kila mwanamke ambaye amefanya ngono na mtu kwa kulala na mwanamume



YEHOVA ATAKA WATU WATII SERIKALI HATA KAMA HAIKUCHAGULIWA NA WATU

Warumi 13

13 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu.


YEHOVA MUASISI WA MFUMO-DUME

1 timotheo 2:11-12

11 Mwanamke na ajifunze akiwa kimya na kwa kujitiisha kikamili.+ 12 Simruhusu mwanamke kufundisha,+ wala kuwa na mamlaka juu ya mwanamume,+ bali kuwa kimya.



YEHOVA,MUASISI WA UTUMWA

Mwanzo 9:25-27

25 Basi akasema:“Alaaniwe Kanaani.

Na awe mtumwa wa hali ya chini kabisa kwa ndugu zake.”26 Naye akasema tena:“Abarikiwe Yehova, Mungu wa Shemu,Kanaani na awe mtumwa wake. 27 Mungu na ampe Yafethi nafasi ya kutosha,Akae katika mahema ya Shemu. Kanaani na awe mtumwa wake pia.”



PONOGRAFIA NDANI YA BIBLIA

Ezekieli 23:20

Aliwatamani sana wanaume wenye uume kama wa punda na manii kama farasi dume.


YEHOVA BINGWA WA KUKOMOA NA KUTESA

Kumbukumbu la torati 28:28-35

28 Yehova atakupiga kwa wazimu+ na kupoteza uwezo wa kuona+ na kuchanganyikiwa kwa moyo.+ 29 Nawe kwa kweli utakuwa mtu anayepapasa-papasa katikati ya mchana, kama vile kipofu anavyopapasa-papasa gizani,+ nawe hutafanya njia zako zifanikiwe; nawe utakuwa mtu tu ambaye sikuzote hupunjwa na kunyang’anywa, pasipo mtu wa kukuokoa.+ 30 Utamchumbia mwanamke, lakini mwanamume mwingine atamlala kinguvu.+ Utajenga nyumba, lakini hutakaa ndani yake.+ Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutaanza kutumia matunda yake.+ 31 Ng’ombe-dume wako atachinjwa hapo mbele ya macho yako—lakini hutakula sehemu yoyote yake. Utanyang’anywa punda wako mbele ya uso wako—lakini hatarudi kwako. Kondoo wako watapewa adui zako—lakini hutakuwa na mwokozi yeyote.+ 32 Wana wako na binti zako watapewa watu wengine+ na macho yako yakitazama na kuwatamani sikuzote—lakini mikono yako itakuwa haina nguvu.+ 33 Mazao ya udongo wako na mazao yako yote yataliwa na watu ambao hukuwajua;+ nawe utakuwa mtu aliyepunjwa na kupondwa sikuzote.+ 34 Nawe utatiwa wazimu kwa kuona kwa macho yako mambo ambayo utaona.+ 35 “Yehova atakupiga kwa jipu hatari kwenye magoti yote mawili na miguu yote miwili, ambalo hutaweza kupona, kutoka wayo wa mguu wako mpaka utosi wa kichwa chako



YEHOVA AHAMASISHA WATU WAPIGANE

Kumbukumbu la torati 25:11

11 “Ikiwa wanaume wawili watapambana pamoja, na mke wa mmoja awe amekuja karibu ili kumkomboa mume wake kutoka mkononi mwa yule anayempiga, naye ameunyoosha mkono wake na kumkamata sehemu zake za siri,+ 12 basi ukate mkono wa mwanamke huyo.



YEHOVA APANDISHA JAZBA,AUA WATOTO 42 PAPO HAPO

2 wafalme 2:23-25

3 Naye akapanda kutoka hapo mpaka Betheli.+ Alipokuwa akipanda njiani, tazama, palikuwa na wavulana+ wadogo waliotoka katika jiji, nao wakaanza kumdhihaki,+ wakazidi kumwambia: “Nenda juu, wewe kipara!+ Nenda juu, wewe kipara!” 24 Mwishowe akageuka nyuma, akawaona, naye akawalaani+ katika jina la Yehova. Ndipo dubu-jike+ wawili wakatoka katika vichaka, wakaanza kuwararua vipande-vipande watoto 42 kati yao.+ 25 Naye akaendelea kutoka hapo mpaka Mlima Karmeli,+ na kutoka hapo akarudi Samaria.



YEHOVA APITISHA ADHABU YA KIFO KWA MLEVI

Kumbukumbu la torati 21:18-21

“Ikiwa mtu atakuwa na mwana ambaye ni mkaidi na mwasi,+ awe hasikilizi sauti ya baba yake au sauti ya mama yake,+ nao wamemrekebisha bali yeye hawasikilizi,+ 19 baba yake na mama yake watamshika na kumtoa nje mpaka kwa wanaume wazee wa jiji lake na kwenye lango la mahali pake,+ 20 nao watawaambia wanaume wazee wa jiji lake, ‘Huyu mwana wetu ni mkaidi na mwasi; hasikilizi sauti yetu,+ ni mlafi+ na mlevi.’+ 21 Ndipo watu wote wa jiji watampiga kwa mawe, naye lazima afe.



YEHOVA ANYANYAPAA VILEMA,WENYE PUA PANA(KAMA zA WATU WEUSI)

Mambo ya walawi 21:17-23

17 “Sema na Haruni, na kumwambia, ‘Mtu yeyote wa uzao wako katika vizazi vyao vyote ambaye ana kasoro+ asije karibu ili kuutoa mkate wa Mungu wake.+ 18 Ikiwa kuna mtu yeyote mwenye kasoro, asikaribie: mtu aliye kipofu au kilema au mwenye pua pana au mwenye kiungo kimoja kilicho kirefu mno,+ 19 au mtu aliyevunjika mguu au aliyevunjika mkono, 20 au mwenye kijongo au aliyekonda au mwenye ugonjwa wa macho au mwenye vigaga au mwenye mba au aliyevunjwa mapumbu yake.+ 21 Mtu yeyote wa uzao wa Haruni kuhani ambaye ana kasoro hatakaribia ili kutoa matoleo ya Yehova kwa njia ya moto.+ Kuna kasoro ndani yake. Hatakaribia ili kuutoa mkate wa Mungu wake.+ 22 Anaweza kula mkate wa Mungu wake kutoka kati ya vitu vitakatifu zaidi+ na kutoka kati ya vitu vitakatifu.+ 23 Hata hivyo, hatakaribia pazia,+ wala hatakaribia madhabahu,+ kwa sababu kuna kasoro ndani yake;+ naye hatapatia unajisi patakatifu pangu,+ kwa kuwa mimi ni Yehova ninayewatakasa wao.



YEHOVA AFANYA MAUAJI YA HALAIKI,AUA WATOTO WACHANGA HADI WANYAMA

1 samweli 15:3

3 Sasa nenda, umpige Amaleki,+ umwangamize+ pamoja na vitu vyote alivyo navyo, usimhurumie, nawe uwaue,+ mwanamume na mwanamke, mtoto na mtoto anayenyonya,+ ng’ombe pamoja na kondoo, ngamia pamoja na punda.’

YEHOVA APATA KIU YA DAMU YA BINADAMU

Mwanzo 22:2

Mungu akamwambia, “Mchukue mwanao, Isaka, mwanao wa pekee umpendaye, uende mpaka nchi ya Moria, ukamtoe sadaka ya kuteketezwa juu ya mlima mmojawapo nitakaokuonesha.”

YESU AWATAKA WATUMWA KUTII MABWANA WAKATILI

1 Petro 2:18

18 Ninyi watumwa, watiini mabwana wenu kwa heshima yote, si wale mabwana walio wapole na wema peke yao, bali hata wale walio wakali.
 
Mkuu nilijenga hoja kupitia Book of jasher juu ya Nimrod na Cain ila kuna watu walitoka povu humu kuwa napotosha maana hayo maandiko hayayambuliki na kanisa hivyo sko credible

Kingine Hivyo vitabu vimeitwa vya kipagani sio na mimi bali KANISA kuanzia siku Biblia ya kwanza inachapishwa vitabu hivi viliachwa na vikahesabika ni Pseudepigraphi ikimanisha havina uhalali wa kuwepo kwenye Biblia ndio maana kwa kanisa la leo vinahesabika ni vya KIPAGANI.... Kwa maelezo zaidi unaweza kugoogle tu maana ya Apocrypha au Pseudepigraphi ndio utaelewa nachomaanisha.

Ndio sasa najenga hoja kwamba kama Biblia inarefer Book of Jasher kwanini mimi na wengine tukijengea hoja kupitia kitabu hicho inapingwa kisa kitabu hicho hakipo kwenye Bible??

Hapo ndio nahoji
 
Mkuu tunaomba uviaattach hapa na sisi tuvisome
 
Nilitegemea majibu kama haya ina maana bible haitakiwi kuchimbwa hata pale unapoona ukakasai wa kimaandishi? inabidi usome tu ili kupata connection na Mungu.!
Ukiona kitu kinaleta utata kwa hiyo ujifanye huoni ili usionekane unachimbua neno la bwana?
Kwanini binadamu hasa waafrika tunapenda kukijengea mipaka ya uelewa ndani ya fikra zetu?
Na hayo ndo madhara ya kuendekeza mapokeo na kuishi ndani ya imani ya kupokea bila kushughulisha akili zetu kuchakata uhalisia wa vitu
 
Inaonekana kuna shida ya uelewa kwa ulichokoquote. Kupewa picha nzima ya daraja la mfugale (big picture) haimaanishi huwezi kujadili zile bustani, traffic lights, nguzo, camera za CCTV za usalama. Ila utakuwa umepoteza mwelekeo ikiwa utajadili mtaro wa maji machafu wa daraja hilo kisha useme pale hakuna daraja Ila ni mtaro tu.Big picture ya kwa nini mwanzo hadi ufunuo haipaswi kufutwa kwa kakipengele ka bibilia au story Moja. Hila hilo halizuii kujadili kipengele hicho.

Ukisoma bibilia ukakosa big picture niliyokueleza utakuwa unatafuna upepo. Hii haizuii kujadili chochote ndani ya bibilia.
 
We ndo hujanielewa hebu rudia kusoma vzur nilicho andika alafu urudi unambie umeelewa nini?
 
We ndo hujanielewa hebu rudia kusoma vzur nilicho andika alafu urudi unambie umeelewa nini?
bibilia ni kitabu kinachotakiwa kuchimbwa,
'' maarifa kuhusu Mungu yanapaswa kutafutwa zaidi ya dhahabu migodini'' ili uweze kuwa na ushahidi mzito kwa nini unamwamini Mungu. Katika uchimbaji huo basis ni big picture ya pambano kati ya Wema na Uovu lililoanza Eden na kuhitimishwa Ufunuo kwa waliochagua kumuamini Mungu na Kumtii.
Ukisema Big picture ni kuzuia kuchimba bibilia au kuwa mwafrika asifikiri sana. Kwanza bibilia iliaminika kwa waafrika kuliko hata wazungu. Karne za awali kulikuwa na wakristo wengi waafrika cathage, libya, misri ethiopia. hata mitume waliweka kqmbi huko. Hata mathayo anasadikiwa kufia ethiopia.
Kusadikisha watu wa afrika hatufikiri sana mambo ya imani na tunakatazana kufikiri mambo ya bibilia sio sahihi.

mithali 2:4,5
inatutaka tuchimbe
 
MKUU ahsante sana kwa tag yako.
japo jina nilibadilisha coz ya mambo fulani
labda nigusie kitu ki 1
watu wengi hususani wa KRISTO hawana elimu ya neno la MUNGU..
Na imefikia hatua/kipindi kuamin biblia ndiyo Kila kitu.paispo kuchambua kwa undani wa VITU/mambo
Hali hii imepelekea hata wachungaji wengi.kushindwa kuielewa vyema biblia /neno la MUNGU
Na kufikia hatua hata mambo ya k MUNGU Wakadhani/fikiri N PEPO.
na Pepo wakimdhani N MUNGU.
pia usisahau wakristo wengi hususani wa ki Africa (Tanzania ikiwemo)
wamekuwa N watu wa ki mapokeo yaani lolote utakalosema watataka ref.kutoka kwenye Bible.
na kama Ni jambo baya bhas daaah.usitegemee majibu.
lakini mleta maada je,umewahi kusoma theology as theology??????
na kama ulisoma N kwa level Gani??????
na kama haujaisoma hutakuwa huna tofaut na wakristo wengi wa ki Africa .
otherwise uwe Islamic
tuanze hapo.then nitakuwa nafafanua
 
kk naoan umekadhania sana hiyo pasipo kuwa na uelewa na hiyo mistari/maana
 
Mkuu nikiri tu sina elimu yoyote ya theology as theology ila huwa nasoma tu vitabu vya theologia ili kujiongezea ufahamu wa maandiko hivyo bado ni mchanga sana ndio maana huwa naleta mada humu ili wenye maarifa zaidi wanitatulie maswali yanayonitatiza.

Karibu kwa ufafanuzi
 
ninachofahamu...
Kuna Kama vipindi vitatu bibilia agano la kale imeandikwa.

1: Jangwani na historia yote tangu uumbaji (hapa tuna vitabu vitano Pentateuch vya Musa).
2: Kipindi cha wafalme na Manabii
3: Intertestamental Period. miaka karibu mianne iliyopo kati ya Nabii Malaki na Kuzaliwa kwa Yesu (kipindi cha ukimya wengine wanakiita/ maelezo yake hayapatikana kwenye bibilia ninayoiamini ila vitabu vya kihistoria vya kiyahudi wengine wqmevicannonize au apokrifa).

Pamoja na ukweli kwamba kuna reference nyingi ya vitabu nje ya bibilia. Canonization ilianzishwa kwa Uwezo wa Mungu na kuchagua nini kiwe kitabu kinachofaa kuwa Maandiko mqtakatifu na vipi sio sehemu bila kujali vipo sahihi au havipo sahihi au vinamaarifa mazuri au yenye ukakasi ila sijasoma popote mtu anakatazwa kusoma ikiwq paulo alisoma mavitabu hadi ya wanaphilosophia wa kigiriki wakina Epimenides na menandes.

Historia ya Israel inafika kwenye discontinuity baada ya kupelekwa utumwani babeli miaka kama sabini hivi.
Baada ya kurudi baada ya kuruhusiwa na mfalme Altashasta wa Umedi na uajemi ndipo chini ya Esra na Nehemia na makuhani kadhaa walikaa na kucompile vitabu vyote ambavyo vingefaa kuwa Maandiko matakatifu ili kuepusha kuchanganya na mavitabu mengine ambayo yanaweza kuwa mazuri lkn sio maandiko matakatifu. Lakini pia kujiepusha nq upotoshaji mwingi ambao ulikuwa ni matokeo ya kukaa upaganini muda mrefu.
Ezra alianza kucompile pentateuch, na baadae nehemia kwa mujibu wa baadhi ya apokrifa hadi nehemia anakufa walikuwa wqmeshacompile vitabu vya wafalme na manabii vyenye hadhi ya kuwa maandiko matakatifu.

Kama haitoshi wayahudi wakaunda kikundi cha watu waliojulikana kama MASSORATES.
Hawa kazi yao ilikuwa ninkuhakikisha hakipotei hata kimoja kwenye yale yaliyodhibitika kuwa maandiko matakatifu.
Ni hayo hayo aliyoyatumia Yesu, Walikuwa na Code maalumu ya kufanya tallying kuona hayapotei.
katika haya hakukuwemo apokrifa, wqla hadithi nyingine zozote ambazo zilikuwa na hadhi zawa na maandiko hayo.

hii haizuii ukweli kwamba kulikuwa na mashairi, vitabu, na maandiko mengine mengi yaliyowahusu hao watu.


maoni.
kama kuna changamoto tupeane ili tujengane.
zitto junior
 
Siyo kweli, jamaa...! Vitabu hivyo vya matukio si vya kishetani kama unavyotaka kuaminisha watu, imagine kama Biblia ingeandika matukio ya kila siku ya Yesu Kristo...! Na waandishi waliotajwa wote wa vitabu vya matukio/maisha ya wafalme hawa hakuna aliyekuwa mganga wa kienyeji hata mmoja. Nilidhani nitaona mahali kwamba TAZAMA MAISHA YOTE YA YEHU/YEHOSHAFAT/DAUDI/SELEMANI YAMEANDIKWA KATIKA KITABU CHA YEZEBEL...! Kama utetezi wako ni hoja ya USHOGA lete rejea kwenye hivyo vitabu hapa iliposema kuwa Daudi alikuwa na tabia hiyo...
 
mkuu tatizo nimegundua humu jf wanatheolojia au wanataalimungu wenye mitazamo mingi kinzani waliopitia vyuoni hawamo na kama wamo hawana utayari wa kujadili haya mambo. ngoja walei na maamateur tukomae japo kwa kupapasa.
 
Basi kuna ndugu zetu humu ukiuliza ufafanuzi zaidi kuhusu sehemu za bible zenye ukakasi watakuambia hutakiwi uliza kiundani mara wakuulize dini kwanza yaani shida tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…