Biblia na reference ya vitabu vya kipagani

Hamna contradiction hapo mkuu Zitto jr wewe na Joshua mmeishi katika kipindi tofauti more than 2500 years

Hivo vitabu Hamna uhakika kama vililuwa well preserved kwakuwa utunzwaji wake ni washaka!!

Katika copies na kutembea na generation nyingi hatuna uhakika navyo hence haviaminiki.

Vina some facts yes but vina madudu mengi tu ya waziwazi vipo corrupted Vinci vyao. ndomana nikakuambia kama unauhakikaka book of jasher unayosoma ndio aliyoitumia Joshua kwa utimilifu wake asilimia 100% wewe tumia tu unakila haki lakoni kama huna uhakika kwanini u gamble knowledge usionauhakika nayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Habari za kupigwa na radi mzee mimi nawewe pia madhambj yetu tupigwe na radi

Mungu ananamna ya kuadhibu atakavo yeye uwezi mpangia namna ya kutoa adhabu.

Hafu lutu sina uhakika kama ninabii labda unielimish kwa hili kwakuwa najua alikuwa ndugu tu wa Abraham ambae alikuwa mcha Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pseudepigraphi maana yake false attribution. Waandishi wa vitabu hawafahamiki au uhakika hakuna kuhusu their authenticity.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna sehemu ambayo nimesema Daud akutenda dhambi zaburi yote itaniumbua nikisema hivo.

Daud alifanya dhambi nyingi tu lakini elewa alitubu na alikufa katika haki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Big allegations anzisha Uzi watu wajadili haya.Tatizo unatafuta knowledge ya bible kwenye site za kishoga unategemea nini!!!

Habari za Samson kuua kawaida tu alikuwa muamuzi tatizo tu aliua nani ??

Hata Abraham sawa aliuwa sana tu tena alikuwa mahiri wa vita alipiga jeshi kubwa kwa ambush ya watu wachache sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waliona hakuna mtu mme katika nchi Kama ilivyo desturi ya dunia nzima,,
Kumbe walijua bado Kuna dunia nzima ila nchi yao ndo haina mme.
Tukiongolea nchi,hivi sodoma ambayo ilikuwa karibu na Jordan river inaqualify kuwa Ni nchi Tena iliyokua mbali Sana na jamii zingine?kiasi kwamba wale binti walikosa option?
 
Hamna ushoga hapo, hao walikuwa maadui Jonathan aliside upande wa maadui

Hio site iliyokujaza hizo fikra ni yakutetea ushoga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Saul alimtukana mwanae,"we,mtoto wa Malaya umeutia aibu uchi wa mamako".
Ina maana Hapo Jonathan alitia aibu mamake kwa kumzaa Kama kidume lakini kinyume na matarajio kumbe kadhaa kituko,sidhani Kama ugomvi wa Saul na Daud ulihusisha mambo ya kisiasa vinginevyo neno,nakedness lisingehusika.
Ukichunguza utaona asili ya Saul kukosana na Daud Ni mahusiano ya Daud na Jonathan,
Kabla ya Hilo,Daud alifanya kazi kwa Saul na Kama sikosei Daud alioa kabisa binti wa Saul,bifu ilianza baada ya Daud kumuua Goliath akaenda na kichwa chake kwa mfalme,kuanzia Happ Jonathan akampenda na Happ ndo tatizo lilianzia
 
Mkuu hapo umepewa sababu sasa kataa au kubali hio ndo sababu ya kufanya hilo tendo. Mengine hapo ni speculation tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana mkuu,nenda kasome Wikipedia kuhusu mahusiano ya Daud na Jonathan utakuta wameweka details kuhusu uwezekano wa mahusiano kuwa intimacy.
Ama kuhusu Abraham kupigana na majeshi makubwa Happ waandishi Kama walifanya wishfull thinking,
Abraham hakuwa mtawala Wala chifu wa nchi yeyote,
Abraham aliishi chini ya utawala wa king Abimelek,alipewa tu sehemu ya kuchunga mifugo yake na wakaweka mkataba na wafilist kutoingiliana maeneo ya machungo
 
Unachoandika hakipo.unaquote mstari wa Bible mmoja au miwili
Hafu unajaza mistari mia ya mawazo yako.

Wapi wameandika Daud alikuwa shoga???

Kwanini umekazania hio verse au unaupenda ushoga?? Maana Hamna evidence yoyote hapo ya allegations zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umekazanja ushoga ,,,!!! Unatisha sasa aisee una ajenda gani???


Umewahi andika kitu shuleni ukaweka reference wikipedia?? Yani wikipedia open source wanahariri watu mbalimbali wenye interest tofauti.

Kwenye Bible unakosa ushahidi unautafuta wikipedia !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Abraham alikuwa MTU mwenye Mali na wafuasi wengi sana.

Hafu chakushangaza Habari za abimelech umetoa humohumo kwenye waandishi wanao fanya wishful thinking!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo unabase kujibu majadiliano kiimani zaidi, intellectual kibao wameandika kuhusu hili,pia hiyo verse katika matoleo mengine wamebadilisha meaning,na hivyo utakuta baadi ya version nyingi,hiyo verse iko tofauti,yaani wameondoa neno,whore na nakedness,. Kwanini unadhani wamefanya hivyo.
 
Mkuu Abraham alikuwa MTU mwenye Mali na wafuasi wengi sana.

Hafu chakushangaza Habari za abimelech umetoa humohumo kwenye waandishi wanao fanya wishful thinking!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba Abraham alikuwa na wafuasi wengi,hakunaga andiko,,tawala ambazo Abraham anadaiwa kupigana nazo Ni tawala zilikuwa established,mfano utawala wa Damusca,historically proved,
Abrahamu hakuwa na jeshi.kwamba Vita ilupiganwa one day,jioni ushindi ukapatikana na kawakumbiza adui Hadi Damusca,
Kwani alikua anatumia ndege?,maana hata marekani hawezi kucover hiyo distance ndani ya siku moja
 
Mkuu wikipidia wanaweka source,Wikipedia Ni online encyclopedia Kama ilivyo britanica encyclopedia,vyote maandishi huwekwa na watu,sio ng'ombe,
Sio kwamba nimestick kwenye ushoga Bali Ni sehemu mjadala umeelekea
 
Mkuu Abraham alikuwa MTU mwenye Mali na wafuasi wengi sana.

Hafu chakushangaza Habari za abimelech umetoa humohumo kwenye waandishi wanao fanya wishful thinking!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu Cha kuzingatia mkuu,
Abimelek kiuhalisia siyo jina la mtu,
Abimelek maana yake Ni ,"Baba wa mfalme".
Abi-baba-father of..
Melek-mfalme.-king

Abimelek Ni sawa na Abumalik.
Abi-Abu
Melek-Malik
Neno Melek au Malik,linamaanisha kumiliki kwa kiswahili,so wafalme waliitwa Malik or Melek
 
Nilitegemea baada ya hii point mujarab uzi ungefungwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 


JE, HIZI SIFA ZA AJABU ZA MUHAMMAD NI ZA KITUME?

1. Muhammad alizini na kijakazi
2. Muhammad alikuwa na changu doa
3. Muhammad alinyonya ulimi wa mwenzake
4. Muhammad alikuwa Mlevi
5. Muhammad alikuwa amerogwa
Wengi wenu labda hamkuwa mnazifahamu hizi siri ambazo Waislam wanazificha kila siku. Naam, naziita siri kwasababu huwa hawasemi huu ukweli wa Muhammad Mtume wa Allah.

MTUME MUHAMMAD ALIFUMANIWA NA KIJAKAZI WA MKEWE
Siku moja mtume (s.a.w) Alikuwa Nyumbani kwa Mkewe Hafsa bint Umar, Hafsa akaenda kwa Baba yake kumjulia hali, Mtume (s.a.w) alimwita Mjakazi wake bibi Mariya Alqbitiyya, akawa nae Chumbani, Aliporudi Hafsa Akasema Maneno makali kwa Mtume juu ya tendo hilo (s.a.w) Mtume akasema nakuhakikishia Kuwa: Kuanzia Leo Sitamwingilia tena, mjakazi wako.
(Tafsir Ibn Kathir J. 6 Uk. 367)
Je, huku kufumaniwa ndio sifa za kitume?

MTUME MUHAMAMD ALIKUWA NA CHANGU DOA
Sunan Abu-Dawud, Kitabu 38, Namba 4458: Amehadithia Ali ibn AbuTalib: "Mtumwa wa Kisichana ambaye alikuwa mali ya nyumba ya Mtume wa Allah aligawa Uroda kwa Rafiki ya Muhammad. Basi Nabii wa Allah akasema kwa Ali: Nenda na ukampe adhabu Muasherati wangu kwa kufanya Ngono bila ya ruhusa yangu. Ali akaharakisha kwenda alipo yule Mtumwa wa Kisichana wa Muhammad na kuona damu ilikuwa inatiririka kutoka kwake, na bila kuacha. Hivyo Muhammad alikwenda kwake na akasema: Mwache damu iendelee kutiririka mpaka itakopo simama; kisha mpe adhabu kwa mujibu wa dhambi yake".
Je, kuwa na chagu doa ni sifa ya kiutume?

MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN
Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.
Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam. Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake
Je, Muhammad kunyonya ulimi watu wa jinsia yake, ni sifa ya kitume?

MTUME MUHAMMAD ALIKUWA MLEVI
Sahihi Muslim 3753:'' Sisi tulikuwa pamoja na Mtume wa Allah, na Yeye Mtume wa Allah alikuwa na kiu na mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Je, UNATAKA KUNYWA MVINYO? Mtume Muhammad akasema: NDIO. Basi yule Mtu alikwenda kuleta mvinyo. Mtume wa Allah akamwambia: Lete MVINYO ULIO MKALI ILI NINYWE; Basi Mtume wa Allah alipo kunywa ule MVINYO MKALI ALILEWA
Je, kula ulabu ni sifa ya kitume?

MTUME MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA
Pia, kwa mujibu wa Sahih Bukhari juzuu ya 4, Kitabu cha 54, Hadithi namba 490 na Sahih Bukhari, juzuu ya 7, kitabu cha 71, hadithi namba 658; Muhammad alirogwa na akazurika na uchawi. Kisa cha mtume kurogwa na kuzurika na uchawi pia kinasimuliwa katika quran Tafsiri ya Sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy ukurasa wa 977 na 978.
Je, kurogwa ni sifa ya utume?

MASWALI:
(a) Ikiwa uchawi ni ukafiri, kuna uhusiano gani kati ya Allah na ukafiri mpaka atelemshe uchawi?
(b)Mtume Muhammad alirogwa na wachawi wa kiislam au wachawi wengine?
(c) Mtume Muhammad alirogwa na uchawi ulioteremshwa na malaika wa Allah au uchawi mwingine?
(d) Mtume au nabii gani mwingine alirogwa na akaathirika na uchawi?
Kama Muhamamd alikuwa Mtume wa Mungu, mbona tabia zake si za kitume na hazifanani na mitume walio tangulia kbala yake?
Hakika huyu Muhammad hakuwa Mtume wa Mungu bali Allah ambaye ni Mpinga Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…