Mtapenda
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 1,115
- 2,055
Wakuu habari
Kumekuwepo na ongezeko la watu ambao reasoning yao imevuka zaidi na kuhoji kila kitu
Bible na Quran zinasema kutakuwepo na mwisho wa Dunia ambapo ni moja ya kitu ambacho kinawatia hofu walio wengi waumini
Dalili za mwisho wa Dunia ni kuwepo kwa vita, magonjwa ya mlipuko, roho ya kupinga Dini
Lakini hivyo vyote vilikuepo tangu enzi na enzi na enzi za manabii wa Quran na bible magonjwa yalikuepo na yaliuwa watu wengi zaidi ya sasa pia vita vilikuepo wafalme walikua wanapigana na kufa watu wengi
Roho ya kupinga Dini sababu watu wanasaka ukweli na kuhoji na walio wengi sasa wanagundua kwamba DINI ni hadithi na ngonjera ambazo lengo la walio anzisha ni
1. Kutia hofu
2. Kuleta mgawanyiko
3. Kututawala kirahisi
Leo hii muislam hamuowi mkristo, hawashirikiani kwenye mazishi sababu ibada tofauti , mkristo ana support israel vs muislam ana support palestine hivyo hakuna maelewano
Kiufupi Dunia haikaliki sababu ya Dini na vita nyingi za sasa na mlipuko wa magaidi sababu wa Dini
Leo hii kuna madalali wa kukupeleka peponi huwezi enda peponi bila kupitia kanisani au msikitini
HAKUNA MWISHO WA DUNIA ILA KUNA MWISHO WA KUDANGANYWA
Kumekuwepo na ongezeko la watu ambao reasoning yao imevuka zaidi na kuhoji kila kitu
Bible na Quran zinasema kutakuwepo na mwisho wa Dunia ambapo ni moja ya kitu ambacho kinawatia hofu walio wengi waumini
Dalili za mwisho wa Dunia ni kuwepo kwa vita, magonjwa ya mlipuko, roho ya kupinga Dini
Lakini hivyo vyote vilikuepo tangu enzi na enzi na enzi za manabii wa Quran na bible magonjwa yalikuepo na yaliuwa watu wengi zaidi ya sasa pia vita vilikuepo wafalme walikua wanapigana na kufa watu wengi
Roho ya kupinga Dini sababu watu wanasaka ukweli na kuhoji na walio wengi sasa wanagundua kwamba DINI ni hadithi na ngonjera ambazo lengo la walio anzisha ni
1. Kutia hofu
2. Kuleta mgawanyiko
3. Kututawala kirahisi
Leo hii muislam hamuowi mkristo, hawashirikiani kwenye mazishi sababu ibada tofauti , mkristo ana support israel vs muislam ana support palestine hivyo hakuna maelewano
Kiufupi Dunia haikaliki sababu ya Dini na vita nyingi za sasa na mlipuko wa magaidi sababu wa Dini
Leo hii kuna madalali wa kukupeleka peponi huwezi enda peponi bila kupitia kanisani au msikitini
HAKUNA MWISHO WA DUNIA ILA KUNA MWISHO WA KUDANGANYWA