Mtapenda
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 1,115
- 2,055
Ubishani wa wakristo na waislam haupishani na ule wa simba na yanga
Waislam wanaamini Yesu(nabii isa) alikua muislam na ali swali msikitini vs wakristo wanaamini Yesu ndio chimbuko la ukristo na alikua mkristo
Waislam wanaamini wakristo wote wanaenda motoni kwakua waanaabudu kupitia Yesu na hivyo hivyo wakristo wanaamini waislam wote motoni kwakua hawaja mkili kristo Yesu kua mwokozi wa ulimwengu
Waislam wanaamini peponi kuna wanawake wazuri, vyakula vizuri, vinywaji vizuri hadi pombe kwa mujibu wa shekhe kipozeo wakristo wanaamini peponi ni kuimba na kucheza muda wote
Mkristo na muislam hawawezi kuowana kulingan na imani tofauti atakama ni kabila moja la kisukumu ama kinyakyusya
Maoni yangu
Hizi dini zote na za kutungwa na lengo lao kututawanya kiimani ili dunia itawaliwe kirahisi kusiwepo na umoja
Kwa hilo wamefanikiwa leo hii msukuma yupo tayari kumuuwa msukuma mwenzake sababu ya mpishano wa Dini
Mungu hana Dini sio muislam wala mkristo haya mambo yote wameleta wanadamu haswa wale walio kua na uwezo wa kufikiri na kuwaza ya mbele zaidi
Mwisho wa Dunia hakuna ila kuna mwisho wa kudanganywa na sasa watu wengi Duniani wameamka na hawadanganywi tena
Dini zimeleta vita kama palestine na Israel, Somalia, sudan na nigeria kote kumezaa magaidi ambao wanamlengo wa kidini na wanataka kueneza dini nchi hazikaliki
NINI MAONI YAKO MWANA JAMII FORUM
Waislam wanaamini Yesu(nabii isa) alikua muislam na ali swali msikitini vs wakristo wanaamini Yesu ndio chimbuko la ukristo na alikua mkristo
Waislam wanaamini wakristo wote wanaenda motoni kwakua waanaabudu kupitia Yesu na hivyo hivyo wakristo wanaamini waislam wote motoni kwakua hawaja mkili kristo Yesu kua mwokozi wa ulimwengu
Waislam wanaamini peponi kuna wanawake wazuri, vyakula vizuri, vinywaji vizuri hadi pombe kwa mujibu wa shekhe kipozeo wakristo wanaamini peponi ni kuimba na kucheza muda wote
Mkristo na muislam hawawezi kuowana kulingan na imani tofauti atakama ni kabila moja la kisukumu ama kinyakyusya
Maoni yangu
Hizi dini zote na za kutungwa na lengo lao kututawanya kiimani ili dunia itawaliwe kirahisi kusiwepo na umoja
Kwa hilo wamefanikiwa leo hii msukuma yupo tayari kumuuwa msukuma mwenzake sababu ya mpishano wa Dini
Mungu hana Dini sio muislam wala mkristo haya mambo yote wameleta wanadamu haswa wale walio kua na uwezo wa kufikiri na kuwaza ya mbele zaidi
Mwisho wa Dunia hakuna ila kuna mwisho wa kudanganywa na sasa watu wengi Duniani wameamka na hawadanganywi tena
Dini zimeleta vita kama palestine na Israel, Somalia, sudan na nigeria kote kumezaa magaidi ambao wanamlengo wa kidini na wanataka kueneza dini nchi hazikaliki
NINI MAONI YAKO MWANA JAMII FORUM