Bibi Sara Omar Obama akiwa Hija Ndogo (Umrah)

Bibi Sara Omar Obama akiwa Hija Ndogo (Umrah)

Tambua hili litakusaidia.
Mungu anakaa ndani ya mtu
shetani nae anakaa ndani ya mtu.
(Ni zile sauti unazoongea nazo ki moyomoyo)...
 
Tambua hili litakusaidia.
Mungu anakaa ndani ya mtu
shetani nae anakaa ndani ya mtu.
(Ni zile sauti unazoongea nazo ki moyomoyo)...

Na ile ya juu ndio shetani na ile ya chini na ya upole ndio ya Mungu.
 
Uislamu na wapogolo wapi na wapi?

Hajj-mult-nation.JPG Race in Islaam.JPG

Hawa ndio Waislaam, na Wapogolo wamo pia ! Salamander
 
Last edited by a moderator:
Ameshindwaje kumkonvis mjukuu wake ambaye pia ni US prezidaa BARAK OBAMA awe muislam kamili?
 
Sultan of the Jinis
Mangi Muitori

sala-maka.JPG Sala- Eid Senegal.JPG Sala- Israel.JPG Sala- Jeshi Korea.jpg Kunyenyekea.JPG

'Ingelikuwa Rahman (Mwenyezi Mungu) ana mwana (Yesu !), basi mimi ningelikuwa wa kwanza kumuabudu.

Ametakasika Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, Mola Mlezi wa Ar'shi, na hayo wanayo msifia (kuwa ana mtoto Yesu !)

Basi waache wapige porojo wakicheza mpaka wakutwe na hiyo siku walio ahidiwa (Kiama !)

Na Yeye ndiye Mungu Mbinguni, na ndiye Mungu katika Ardhi. Naye Ndiye Mwenye Hekima, Mwenye Ujuzi.

Na ametukuka Mwenye Ufalme wa mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake. Na uko kwake ujuzi wa saa ya Kiyama, na kwake Yeye (watu wote) mtarejeshwa.

Wala hao mnao waomba badala yake Yeye (Allah SWT) hawana uweza wa kumuombea mtu, isipokuwa anaye shuhudia kwa haki, na wao wanajua.

Na ukiwauliza (Makafiri) ni nani aliyewaumba !? Bila shaka watasema: Allah SWT ! Basi ni wapi wanapogeuzwa ?

Qur'an: 43:81-87
 
Last edited by a moderator:
nenda darful ndo utajua arabs na waafrica ni wamoja in islam!! or not!!?siku ukienda uarabuni ndo utawaelewa utajijua kama ww n binadam au nyani!!darful:slave cannot lead the country

View attachment 246658

Dunia Nzima inakutana hapa, ..............watu wote nyimbo ni moja tu Mungu ni Mkuu !
 
Mangi Muitori

View attachment 246651View attachment 246653View attachment 246654View attachment 246655View attachment 246656

'Ingelikuwa Rahman (Mwenyezi Mungu) ana mwana (Yesu !), basi mimi ningelikuwa wa kwanza kumuabudu.

Ametakasika Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, Mola Mlezi wa Ar'shi, na hayo wanayo msifia (kuwa ana mtoto Yesu !)

Basi waache wapige porojo wakicheza mpaka wakutwe na hiyo siku walio ahidiwa (Kiama !)

Na Yeye ndiye Mungu Mbinguni, na ndiye Mungu katika Ardhi. Naye Ndiye Mwenye Hekima, Mwenye Ujuzi.

Na ametukuka Mwenye Ufalme wa mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake. Na uko kwake ujuzi wa saa ya Kiyama, na kwake Yeye (watu wote) mtarejeshwa.

Wala hao mnao waomba badala yake Yeye (Allah SWT) hawana uweza wa kumuombea mtu, isipokuwa anaye shuhudia kwa haki, na wao wanajua.

Na ukiwauliza (Makafiri) ni nani aliyewaumba !? Bila shaka watasema: Allah SWT ! Basi ni wapi wanapogeuzwa ?

Qur'an: 43:81-87

sasa ww kama dini yako ni ya haki kwa nn ushinde unakosoa dini nyingine!!hayo unayoona makosa ni kwa sababu hujaijua ingia utajua wala hamna swali lisilo na jibu!!madhambi unayo kibao umekazana kuharbu din za watu kwa usichokijua!!ni muda wajitakasa ww na roho yako nao watu watajifunza kupitia matendo yako!!sio kupwayuka na kuvaa mabom
 
Last edited by a moderator:
In World
According to the Carnegie Endowment for
International Peace , the World Christian
Database as of 2007 estimated the six fastest-
growing religions of the world to be Islam
(1.84%), the Bahá'í Faith (1.7%), Sikhism
(1.62%), Jainism (1.57%), Hinduism (1.52%),
and Christianity (1.32%). High birth rates were
cited as the reason for the growth.
However, according to others, including the
Guinness World Records, Islam is the world's
fastest-growing religion by number of
conversions each year.
 
Back
Top Bottom