Mke ni mke na mme ni mke...hata sisi waamini tuliambiwa mwanamke hawezi tumikia mabwana wawiliWivu lazima..kwenye mapenz wivu upo tu labda mtu awe hakupendi...unafikiri ungekuwa ww ndo mke wako ungekubali? Au mke wako akwambie nataka kuwa na mwanaume mwingine muwe wawili we ungemuelewa?
Kati yenu watatu. Mmoja atakuja Pumzika kwa amani.Aaaa wapi hata msiniombee mabalaa mapema hivi
Utakua waiangalia mwenyewe?Ikitokea nikaletewa mke mwingine wala siongei chochote, ila ndo mwisho Mme kuona.papuchi yangu, labda aichore kwenye.karatasi
Akiwa na majanga ataugulia kimoyomoyo najua hawez leta mrejesho maana wadau wameshamwambia...hiyo itakuwa siri yake ya ndani ss tumuache afurahieIPO siku utayakumbuka haya tunayokuambia japo kimyakimya [emoji23][emoji23][emoji23]
Na Kweli mi sipo Kama mkeo.
Aaaa wapi hata msiniombee mabalaa mapema hivi
Kila la kheri mkuuHiyo negative side mko nayo nyinyi...mimi niacheni nilee familia yangu
Anaweza sana tu kwani mbona kuna wanawake wameolewa na wana wanaume wengine? Wanaweza wasiwe official lakn wakawa wengi wa kutosha tu sasa endelea kusema hawez tumikia mabwana wawili.Mke ni mke na mme ni mke...hata sisi waamini tuliambiwa mwanamke hawezi tumikia mabwana wawili
All the bestAsante sana leo niko na zamu za kwenda kwa bibi mdogo so see you later
Acha kiburiYaan wewe n kama Mimi... Aniache tu abaki na huyo mke wake
[emoji13] [emoji13]All the best
Sitaki kushare me nawaacha tu maana mpaka akaamua kuoa maana yake mm sina maana ..sasa ya nn kuwa king'ang'anizi? Si bora niwaache wafaidi?Acha kiburi
Bi. Mkubwa anaweza kuwa ameamua kufanya mambo kidiplomasia, kuishi kwingi ni kuona mengi, niliwahi kuona kitu ya aina hiyo ilfika wakati mke mdogo akawa hataki kabisa kumwona mtu kama mleta mada.Sijakwelewa mkuu..
Usiwasikilize hawa wanawake wana wivu,wewe fanya yako uanaume unahitajika kwenye maamuzi,usikate tamaa.Asante sana leo niko na zamu za kwenda kwa bibi mdogo so see you later