Bibi Mdogo Anapopokelewa Vema na Bibi Mkubwa

Bibi Mdogo Anapopokelewa Vema na Bibi Mkubwa

Unatengeneza bomu la hatari sana!! Usisahau kuja na mrejesho siku za usoni.Alafu hii kitu Unatengeza mazingira ya kuzidi kuchapiwa wake zako...hasa bi.mkubwa lazima amegwe kisawa sawa
Mrejesho utaletwa mapema sana. Hilo la kumegwa sidhani kabisa
 
Wakuu Habarini
Hapa ninafuraha ya ajabu kupindukia. Katika hali isiyo ya kutarajiwa bibi mkubwa akubali nioe mke wa pili kwa vigezo vichache sana. Kwanza kabisa lejeeni uzi wangu huu:
Naombeni ushauri Wenu katika Nimefika Njia Panda - JamiiForums

Kimsingi mimi ni mkristo nina mke na watoto wawili kwa bibi mkubwa na mmoja kwa mke mdogo. Halikuwa jambo rahisi kufikia makubaliano na bibi mkubwa nioe huyu mke mdogo. Ila nashukuru tulikaa chini wote tukajadili kama ni ishu ya kifamilia na sio baba tena. Nikaambiwa nimpeleke amwone na waongee wote wawili. Kiukweli bibi mdogo alikataa kabisa kuja home. Pamoja na jitihada za bibi mkubwa kumwomba aje nyumbani aligoma. Ikabidi nimchukue wife niende nae kwake. Kweli tulifika ukapikwa msosi na mjadala ukaanza. Awali hakujua yule kama mke wangu mimi nilimchukua mtoto nikampa bibi mkubwa amshike wakati yeye anapika.
Baada ya msosi ndo mazungumzo yakaanza. Baada ya utambulisho bibi mkubwa alimuuliza tu mke mdogo yupo tayari kuolewa kuwa bibi mdogo na endapo atakubali anamsisitiza kulinda ndoa. Yeye kama bibi mkubwa hataki kusikia anahatarishiwa maisha yake kwa kuletewa magonjwa. Kweli bibi mdogo alikuwa mdogo sana mpaka nilimuonea huruma.
Jumatano ya wiki hii nilimchukua asubuhi nikampeleka home kwa bibi mkubwa wameshinda huko wanajua wao walivyokuwa wanaongea. Jioni saa 2 nikamrudisha kwake mimi nikarudi home kwa bibi mkubwa.
Then mke mkubwa akasema tu inabidi nmlipie mahari na ajukane kama mke mdogo yeye hana kipingamizi na atasaidia kulea mtoto. Ikumbukwe kuwa huyu binti mdogo huyu ni mtoto wa kwanza so inabidi mambo mengi aelekezwe so bibi mkubwa kachukua jukumu.
Leo nimemwambia awaambie kwao mwezi ujao naenda kutoa mahari.

Wakuu yani hapa ninafuraha hata kazi haziendi aisee.

Huu ni Mrejesho tu kwenu wanaJF.
WAGOMBANISHE WAKIPATANA WATAKUUA😉
 
USISAHAU KUNITAG UKIJA NA MAJANGA
Majanga hapana na nakuthibitishia hilo 100%. Tumefikia muafaka baada ya majadiliano ya pande zote mbili na hayaweza kutenguliwa. I know them ni watu wa principles and understandings..ila kuwa na totozi mbili ni raha sana. Hawa jamaa zetu wa swala tano wanapata faida sana hapa duniani..naungana nao kusihi kwa furaha
 
Hajui tu. Hamna meanamke yoyote yule anayeweza kukubali kirahisirahisi hivyo.
Anaset tu mambo yake
Mke wangu namjua na tumetoka nae mbali. Ni kweli wengi wenu wanawake miwivu kibao ila huyu ni tofauti.
 
Ongeza na watatu kabisa ..tuone huyo Bibi mdogo analipokea vipia
 
Hilo halipo na nina uhakika wa asilimia 100% hili halipo. Wengi wenu mmejaa wivu na chuki zisizo za maana. Na binafsi nimemshukuru sana wife kuwa mwelewa mana ningeendelea kuchepuka na sio jambo zuri
Hamna cha ubora hapo. Labda ungemwambiaga kabla kujachepuka. Kuwa
Mke wangu wewe hunitoshelezi nichepuke au nioe.
Hapo kidogo ungeeleweka. Umechepuka na mtoto juu mkapata....
Mwangalie sana Mke wako mkubwa kwa jicho la tatu..
 
Hamna cha ubora hapo. Labda ungemwambiaga kabla kujachepuka. Kuwa
Mke wangu wewe hunitoshelezi nichepuke au nioe.
Hapo kidogo ungeeleweka. Umechepuka na mtoto juu mkapata....
Mwangalie sana Mke wako mkubwa kwa jicho la tatu..
Wasiwasi wako tu sina cha kuhofu kabisa..usimfananishe yeye na wewe..she is different 100%
 
Hilo halipo na nina uhakika wa asilimia 100% hili halipo. Wengi wenu mmejaa wivu na chuki zisizo za maana. Na binafsi nimemshukuru sana wife kuwa mwelewa mana ningeendelea kuchepuka na sio jambo zuri
Wivu lazima..kwenye mapenz wivu upo tu labda mtu awe hakupendi...unafikiri ungekuwa ww ndo mke wako ungekubali? Au mke wako akwambie nataka kuwa na mwanaume mwingine muwe wawili we ungemuelewa?
 
mwanamme akioa wake wengi haimaanishi kwamba hachepuki unaweza kua na wake wawili bado ukamtamani mwingne bora awe na vimada elfu mke nibaki mwenyewe
Duu hapo napo patamu kama unaweza mruhusu mmeo kuchepuka atakavyo hilo ni bora ila yeye kaamua nioe
 
Back
Top Bottom