don machete
Member
- Oct 11, 2018
- 52
- 72
Wape taarifa una oa wa3
Hata barabarani hujaona?Labda hawa wa kwenu hawa wangu sijaiona hiyo
Ingekua wewe ungefanyaje?Bora hata huyu alikuonesha wazi wazi...mwingine kama mke wa mleta Uzi atakaa kimya lakini cha moto utakiona. Na utajuta
Namuacha na huyo mke wake mdogo waenjoy maisha me nachukua hamsini zanguIngekua wewe ungefanyaje?
Acha uwogaMungu nipitishie mbali. Aiseee ee Muumba niepushie Mimi mja wako!
Uamuzi mzuri, nilidhani utawadhuruNamuacha na huyo mke wake mdogo waenjoy maisha me nachukua hamsini zangu
Siwezi wadhuru mkuu ...sijawahi fikiria kumdhuru mtu kisa mapenzi...kuwaacha n bora zaidi kila mtu aishi kwa amaniUamuzi mzuri, nilidhani utawadhuru
Vyema Sana I wish ungekua Imani ile😉Siwezi wadhuru mkuu ...sijawahi fikiria kumdhuru mtu kisa mapenzi...kuwaacha n bora zaidi kila mtu aishi kwa amani
Imani ipi hiyo?Vyema Sana I wish ungekua Imani ile😉
Unaemuomba akupitishe mbali si ndie alie ruhusu?Mungu nipitishie mbali. Aiseee ee Muumba niepushie Mimi mja wako!
Ninakoamini Mimi siko alikoruhusu.Unaemuomba akupitishe mbali si ndie alie ruhusu?
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Ikitokea nikaletewa mke mwingine wala siongei chochote, ila ndo mwisho Mme kuona.papuchi yangu, labda aichore kwenye.karatasi
NEW FORCE huwa haiui ikiwa pale ubungo(kabla ya kuanza safari au kufika) mauaji hutokea ikiwa njiani.So usichekelee sana mwanzo wa safari matatizo mengi yapo huko njianiWakuu Habarini
Hapa ninafuraha ya ajabu kupindukia. Katika hali isiyo ya kutarajiwa bibi mkubwa akubali nioe mke wa pili kwa vigezo vichache sana. Kwanza kabisa lejeeni uzi wangu huu:
Naombeni ushauri Wenu katika Nimefika Njia Panda - JamiiForums
Kimsingi mimi ni mkristo nina mke na watoto wawili kwa bibi mkubwa na mmoja kwa mke mdogo. Halikuwa jambo rahisi kufikia makubaliano na bibi mkubwa nioe huyu mke mdogo. Ila nashukuru tulikaa chini wote tukajadili kama ni ishu ya kifamilia na sio baba tena. Nikaambiwa nimpeleke amwone na waongee wote wawili. Kiukweli bibi mdogo alikataa kabisa kuja home. Pamoja na jitihada za bibi mkubwa kumwomba aje nyumbani aligoma. Ikabidi nimchukue wife niende nae kwake. Kweli tulifika ukapikwa msosi na mjadala ukaanza. Awali hakujua yule kama mke wangu mimi nilimchukua mtoto nikampa bibi mkubwa amshike wakati yeye anapika.
Baada ya msosi ndo mazungumzo yakaanza. Baada ya utambulisho bibi mkubwa alimuuliza tu mke mdogo yupo tayari kuolewa kuwa bibi mdogo na endapo atakubali anamsisitiza kulinda ndoa. Yeye kama bibi mkubwa hataki kusikia anahatarishiwa maisha yake kwa kuletewa magonjwa. Kweli bibi mdogo alikuwa mdogo sana mpaka nilimuonea huruma.
Jumatano ya wiki hii nilimchukua asubuhi nikampeleka home kwa bibi mkubwa wameshinda huko wanajua wao walivyokuwa wanaongea. Jioni saa 2 nikamrudisha kwake mimi nikarudi home kwa bibi mkubwa.
Then mke mkubwa akasema tu inabidi nmlipie mahari na ajukane kama mke mdogo yeye hana kipingamizi na atasaidia kulea mtoto. Ikumbukwe kuwa huyu binti mdogo huyu ni mtoto wa kwanza so inabidi mambo mengi aelekezwe so bibi mkubwa kachukua jukumu.
Leo nimemwambia awaambie kwao mwezi ujao naenda kutoa mahari.
Wakuu yani hapa ninafuraha hata kazi haziendi aisee.
Huu ni Mrejesho tu kwenu wanaJF.