Mtoto wa Baba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,123
- 4,026
Kwa kweli...mtu unaweza kufa hivi hiviMungu nipitishie mbali. Aiseee ee Muumba niepushie Mimi mja wako!
Kwa kweli...mtu unaweza kufa hivi hiviMungu nipitishie mbali. Aiseee ee Muumba niepushie Mimi mja wako!
Hahahhahhaaaamimi mwenyewe sijaelewa
Asante kwa kunipa moyo mkuu! Maana daaah!
We mwache afurahie tu...anafikiri mke wake anafurahia sana yy kumletea mwanamke mwingine? Siku na yy akisikia mke wake ana mwanaume mwingine naamin ataendelea kufurahiMoyo wa MTU kichaka !hakuna anayependa kuchanganya mapenzi ndugu.
Kwanini usielewe wakati wanawake kibao wamejaa chale vifuani mwao!Sijakwelewa mkuu..
duh!! umeachwa salama kweli?hongera mi siku nimepeleka hizo habari za kuongeza mke, asubuhi yake naamka nakuta pembeni yangu nimelala na panga na shoka..
Kwa niaba ya mke wangu naomba nikuhakikishie kuwa tuko salama salimini. Ukifananisha na wanawake wengine na dhahiri lazima ufikiri hivyoWe mwache afurahie tu...anafikiri mke wake anafurahia sana yy kumletea mwanamke mwingine? Siku na yy akisikia mke wake ana mwanaume mwingine naamin ataendelea kufurahi
Hilo halipo na nina uhakika wa asilimia 100% hili halipo. Wengi wenu mmejaa wivu na chuki zisizo za maana. Na binafsi nimemshukuru sana wife kuwa mwelewa mana ningeendelea kuchepuka na sio jambo zuriBora hata huyu alikuonesha wazi wazi...mwingine kama mke wa mleta Uzi atakaa kimya lakini cha moto utakiona. Na utajuta
Huo sasa ubinafsi Muumba hawezi sikia hilo dua... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mungu nipitishie mbali. Aiseee ee Muumba niepushie Mimi mja wako!
Wakuu Habarini
Hapa ninafuraha ya ajabu kupindukia. Katika hali isiyo ya kutarajiwa bibi mkubwa akubali nioe mke wa pili kwa vigezo vichache sana. Kwanza kabisa lejeeni uzi wangu huu:
Naombeni ushauri Wenu katika Nimefika Njia Panda - JamiiForums
Kimsingi mimi ni mkristo nina mke na watoto wawili kwa bibi mkubwa na mmoja kwa mke mdogo. Halikuwa jambo rahisi kufikia makubaliano na bibi mkubwa nioe huyu mke mdogo. Ila nashukuru tulikaa chini wote tukajadili kama ni ishu ya kifamilia na sio baba tena. Nikaambiwa nimpeleke amwone na waongee wote wawili. Kiukweli bibi mdogo alikataa kabisa kuja home. Pamoja na jitihada za bibi mkubwa kumwomba aje nyumbani aligoma. Ikabidi nimchukue wife niende nae kwake. Kweli tulifika ukapikwa msosi na mjadala ukaanza. Awali hakujua yule kama mke wangu mimi nilimchukua mtoto nikampa bibi mkubwa amshike wakati yeye anapika.
Baada ya msosi ndo mazungumzo yakaanza. Baada ya utambulisho bibi mkubwa alimuuliza tu mke mdogo yupo tayari kuolewa kuwa bibi mdogo na endapo atakubali anamsisitiza kulinda ndoa. Yeye kama bibi mkubwa hataki kusikia anahatarishiwa maisha yake kwa kuletewa magonjwa. Kweli bibi mdogo alikuwa mdogo sana mpaka nilimuonea huruma.
Jumatano ya wiki hii nilimchukua asubuhi nikampeleka home kwa bibi mkubwa wameshinda huko wanajua wao walivyokuwa wanaongea. Jioni saa 2 nikamrudisha kwake mimi nikarudi home kwa bibi mkubwa.
Then mke mkubwa akasema tu inabidi nmlipie mahari na ajukane kama mke mdogo yeye hana kipingamizi na atasaidia kulea mtoto. Ikumbukwe kuwa huyu binti mdogo huyu ni mtoto wa kwanza so inabidi mambo mengi aelekezwe so bibi mkubwa kachukua jukumu.
Leo nimemwambia awaambie kwao mwezi ujao naenda kutoa mahari.
Wakuu yani hapa ninafuraha hata kazi haziendi aisee.
Huu ni Mrejesho tu kwenu wanaJF.
Endeleeni kuongeza account za bank mana hata ukitafuta lazima utumie hujaja duniani kula tabu, wengine tumekuja kula bata na tuenda mbinguni tutaenda kumalizia tuAisee watu na vipaji vyenu wenzenu wanaongeza account za bank na vi wonder ww unaongeza lain za cm ili uongeze majukumu ya vocha alfu et ynafurahia mwee akil zako zinakutosha mwenyewe
Hahaha....Wow!!..lyembo liswe lyenelo nkoi.Kubyala mayo kubyala cha wiza sana,mdomonaga onina wa mdau mpya ...alebina wisundasunda
Wanakwambia the power of pussyDuh kweli papuchi ni noma [emoji15][emoji15][emoji15]