Bibi harusi atimua mbio katikati ya harusi

Afadhali wewe umeona kwa jicho lingine....
 
kwani huwa mnatufuata kwa sababu ya mengi,manji na ATM! kumbe huwa mnaolewa na pochi siyo wanaume
 

Naona Mkuu Amavubi unafuata nyayo za Msaga Sumu sio!
 
Get angry get inspired... Jamaa aliekimbiwa atakuja kuwa milionea kwa hasira alizopata hapo
 
Umetumia uongo ili umpate mkiingia ndoani na muendelezo wa uongo akivurunda utamlaumu?
Akijipata ameshatekwa nyara hana ujanja, kinachofuata hapo ni ubabe sio ubaby tena, hakuwa anajua kama namiliki bastola sasa atajua hata na bunduki ninayo, yani yeye mwenyewe akijitizama anakubali yaishe.
 
Akijipata ameshatekwa nyara hana ujanja, kinachofuata hapo ni ubabe sio ubaby tena, hakuwa anajua kama namiliki bastola sasa atajua hata na bunduki ninayo, yani yeye mwenyewe akijitizama anakubali yaishe.
Nani atakubaliana na huo ubabe sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…