Bibi harusi atimua mbio katikati ya harusi

Bibi harusi atimua mbio katikati ya harusi

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
Watu walipigwa na mshangao mkubwa nchini Nigeria baada ya bibi harusi kutoroka kanisani alipogundua mume wake mtarajiwa sio mfanyikazi wa kampuni moja ya ya kitajiri ya kuuza mafuta.

Je ungekuwa wewe mwanamume ama mwamamke umeachwa mataani kwenye harusi yako mbele ya watu kibao familia, ndugu na marafiki na maadui waanza vipi?

13939492_919033928207921_4159767238860158401_n.jpg


13935057_919034014874579_4641078331574013128_n.jpg
 
kama mtu huna kazi si useme tu ulishwe mjini hapa? mbwembwe za nini? oooh manji mjomba wangu sema kasafiri,ooh mengi shemeji wa jirani yetu yupo kwenye kikao
oooh atm imevunjika? ooooh account imefungiwa kumbe huna lolote
hata mimi ningekimbia maana kama umempendea mtu hela kumbe hana utasubiri nini? semeni kweli nyie wanaume
 
Duh hiyo heading ilivyo hatari, "Bi Arusi atimua mbio katikati ya tendo la ndoa" mimi nilijua kwenye mambo yetu yale baada ya mziki kuwa mzito akaamua kutikua mbio na pichu mkononi
Hata mie hio heading imenishtua kidogo. Ina ukakasi sana
 
huyo aachwe tu maana lake ni pesa n nothing else
 
Watu walipigwa na mshangao mkubwa nchini Nigeria baada ya bibi harusi kutoroka kanisani alipogundua mume wake mtarajiwa sio mfanyikazi wa kampuni moja ya ya kitajiri ya kuuza mafuta.

Je ungekuwa wewe mwanamume ama mwamamke umeachwa mataani kwenye harusi yako mbele ya watu kibao familia ,ndugu na marafiki na maadui waanza vipi??

13939492_919033928207921_4159767238860158401_n.jpg
Alaah mm nilifikiri kakimbia kupigwa show labda hana kipapuchi kidogo alafu kakutana na mguu wa mtoto
 
Hivi ukisema katikati ya tendo la ndoa maana yake ni nn!?
 
Back
Top Bottom