kamituga
JF-Expert Member
- May 31, 2019
- 1,195
- 1,919
Wakuu hii habar imetokea huku kwa tshekedi felix jamaa yang alikua afunge ndoa ijumaa serikalini na jumamosi kanisani ili jumapili iwe party km taratibu za huku zilivyo.
Cha ajabu siku iyo bibi harusi alijiandaa kuja kufunga ndoa na mambo yalikua moto moto na wa congo wanapenda sana harusi na mshikaji anajiweza financially maana sisi wafanya biashara wenzake wa madini tulitoa 100usd kila mmoja yaani kifupi Mambo yalikua moto na kwakua wanajulikana iyo harusi kila mtu alikua anaisubiri kwa hamu.
Kimbembe kilipo anzia mimi sijui ila nilicho shuhudia kwa macho ni bibi harusi alikua amesimama pembeni ya bwana harusi ghafla akageuka nyuma kuangalia atakapo angukia kisha akajidondosha pale kwenye ofisi za serikali.
Pilika pilika zikaanza utaka kujua yalio musibu wakaleta gari karibu kumubeba akaamuka wakati huo mambo yameisha vuruganika.
Sasa dunia aina siri kumbe mlengwa akutaka kuolewa wazazi ndio walikubaliana waozeshane watoto.
Harusi ikaishia hapo vurugu zikawa nyingi watu wakasambaa.sasa
Sasa kilicho nistajaabisha sherehe aikuvunjwa kwa misingi kwamba wameisha nununua vitu jana tumekula vitu vyetu bila bibi wala bwana harusi mchezo ukaisha yanayo endelea mimi sijui
Nyie wanawake muwe mnakataa mapema na mahari huku ni mukasi sana jamaa alitoa 2500usd na matakataka mengine ina fika 5000 usd af mwisho ndio mambo ya ajabu ivyo hii dunia iko kasi sana simama nishuke.
Cha ajabu siku iyo bibi harusi alijiandaa kuja kufunga ndoa na mambo yalikua moto moto na wa congo wanapenda sana harusi na mshikaji anajiweza financially maana sisi wafanya biashara wenzake wa madini tulitoa 100usd kila mmoja yaani kifupi Mambo yalikua moto na kwakua wanajulikana iyo harusi kila mtu alikua anaisubiri kwa hamu.
Kimbembe kilipo anzia mimi sijui ila nilicho shuhudia kwa macho ni bibi harusi alikua amesimama pembeni ya bwana harusi ghafla akageuka nyuma kuangalia atakapo angukia kisha akajidondosha pale kwenye ofisi za serikali.
Pilika pilika zikaanza utaka kujua yalio musibu wakaleta gari karibu kumubeba akaamuka wakati huo mambo yameisha vuruganika.
Sasa dunia aina siri kumbe mlengwa akutaka kuolewa wazazi ndio walikubaliana waozeshane watoto.
Harusi ikaishia hapo vurugu zikawa nyingi watu wakasambaa.sasa
Sasa kilicho nistajaabisha sherehe aikuvunjwa kwa misingi kwamba wameisha nununua vitu jana tumekula vitu vyetu bila bibi wala bwana harusi mchezo ukaisha yanayo endelea mimi sijui
Nyie wanawake muwe mnakataa mapema na mahari huku ni mukasi sana jamaa alitoa 2500usd na matakataka mengine ina fika 5000 usd af mwisho ndio mambo ya ajabu ivyo hii dunia iko kasi sana simama nishuke.