Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,770
- 7,489
Dah!?!?!? Watanzania akili zetu anazijua mwenyezi munguHabarini wadau, hivi naskia kua ni rahisi kuwapata baadhi ya totoz ambao huwa wanauza vitu kama vile mashuka, mashati na nguo kwenye mitandao km vile instagram.
Wengi wao huwa wanasema wanatoa home deliver yaan anakuletea mzigo mpaka nyumbani kwako, sasa naskia wanaume hapo ndo huwa wanapata muda wa kumwaga sera maana akishaingia ndani ya nyumba unamtangazia dau na anakua hawez kukataa kama dau ni kubwa hivyo unakua unachukua totoz kiulaini.