Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,433
- Thread starter
-
- #61
karma inanimaliza mzee...... bora ningemwacha yule kasuku ningekuwa sasa nina kisingizio kuwa ananihujumuBundi wako ulitumia janja janja sana kuwaingiza sokoni. Mara wawameze KASUKU wa kijivu, mara wajinyakulie Nyama ya mbuzi ya CHOBBO INVESTMENT, vurugu tupu...!!!
Pambana na bundi wako...
mibundi haina afya ni tumbo la kwashakoo...Ila mkuu hapa mtaani kwetu unaheshimika sana kwa kuwa na hiyo mijibundi. Sifa zako zimeenea kila mahali kwa jinsi ambavyo umeweza kuendesha kilimo cha bundi kilichowashinda watangulizi wako hapo kabla. Sasa hivi wewe na wanao mnatembea kifua mbele kwa kumiki mijibundi yenye afya tele hata kama kwenye uchawi hai pafomu kiviile sio haba ππ
mi mwenyewe hata sielewi uzi una maana gani, sijui mwenzangu umeelewa nini kwenye uzi huu?
Kwa hyo sasa unawaza biashara gani baada ya uchawi kukushinda boss?
Kuna mtu kaniambia awamu hii wachawi pekee ndio wanaelekea kwenye uchumi wa kati we umekwama wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Dawa yake ni ile Nissan nyeusi... Au siku hizi haipo???huyu profesa maji manene mbona ananivua nguo hadharani?
Soon bundi watabeba mbao from Iringa kuziwahisha Dasalaam...! Bundi wamepigika haokarma inanimaliza mzee...... bora ningemwacha yule kasuku ningekuwa sasa nina kisingizio kuwa ananihujumu
Na maparachichi kutoka Mbeya na MoshiSoon bundi watabeba mbao from Iringa kuziwahisha Dasalaam...! Bundi wamepigika hao
Umeona hah"Kweli sio kila dokta amesoma "
Sent using Jamii Forums mobile app
Waswahili walisema "MCHUMA JANGA HULA NA WAKWAO" tafuta namna ambayo unaweza tumia hao bundi wako. Unaweza tumia hata kusafirisha tu vitu tudogo tudogo nakumbuka zamani njiwa walitumika kupeleka taarifa kwa watu. Refer hata wimbo wa "ewe njia ewe njiwa peleka habari..."
Sasa wa train hao bundi wako wabadilishiwe
Shughuli za kufanya... Lakini pia haiwezekani hata ukaanza tangaza kwa watu kuwa nyama ya bundi inaongeza nguvu za kiume,inaponya ukimwi,inazuia cancer,inaleta mvuto wa mapenzi,inaleta utajiri n.k? Fanya hivyo....tengeneza uhitaji halafu uza hiyo mijibundi yako na vikinda vyake.
Siku nyingine Ukitaka Kukimbia Agana na nyonga. Usikurupuke tu.
Politics as usual, tukiweza kuacha siasa kwenye mambo ya kitaifa hasa ya kiweledi itatusaidia sanaπππππ
ππππKwi kwk kwi badilisha uuze mweweππ...ulikuja kwa mbwembwe sana unalooo babu weee
piere atabaki kuwa juu tu
Lakini kule Njombe kulifanyika sala ya toba kuombea na kutubu makosa kama hayo ya manunuzi wa bundi wasio na tija.Nimenunua mijibundi mikubwa kwa midogo kwa mbwembwe nyingi sana. Kwa mikogo na mwendo wa madaha nilijigamba kila kona huku nikiwatambia wapinzani wangu kuwa naenda kuwa juu kama Pierre Liquid Konki Fayaaaaa.
Matarajio yangu ilikuwa niipeleke mibundi yangu nchi jirani na za mbali, hasa Bollywood na Uchinani.
Nimeshindwa, wamesema hawataki uchawi kwenye nchi yangu.
Mibundi mikubwa imelala tu inapigwa na vumbi na kuzeeka, vibundi vidogo navituma mikoani lakini navilisha kwa gharama kubwa na havinipi faida, watu hawana hela nashindwa kuwapiga chuma ulete.
Bora ningekuwa msikivu ningechimba visima wanangu wapate maji kuliko biashara hii kichaa ya uchawi wa mabundi.
Mapovu ruksa
Hivi bundi wengine wanakuja lini? Nimemiss water cannon salute...!! Halafu Mumbai hawaendi tena ilihali uliwaleta wateke soko la akina Ndugu ai kwenda Kliniki Apollo IndiaNa maparachichi kutoka Mbeya na Moshi
Hapa nimekuelewa sana maana mda wote nilikuwa nimetoa macho najiuliza mijibundi ndo vitu gani?Mkuu acha tu niungame. Nilikurupuka. Sina business plan wala strategies za kufanya biashara za bundi niziendeshe kwa faida na weledi, naendeshwa na kiki tu ili nimfunike baba na kaka zangu wakubwa walionitangulia