Biashara yangu ya Bundi imenidodea

Bundi wako ulitumia janja janja sana kuwaingiza sokoni. Mara wawameze KASUKU wa kijivu, mara wajinyakulie Nyama ya mbuzi ya CHOBBO INVESTMENT, vurugu tupu...!!!
Pambana na bundi wako...
karma inanimaliza mzee...... bora ningemwacha yule kasuku ningekuwa sasa nina kisingizio kuwa ananihujumu
 
mibundi haina afya ni tumbo la kwashakoo...
 
GuDume sio Kila kiumbe kinafundishika, hebu jaribu kumfundisha bata uone
 
Lakini kule Njombe kulifanyika sala ya toba kuombea na kutubu makosa kama hayo ya manunuzi wa bundi wasio na tija.
 
Na maparachichi kutoka Mbeya na Moshi
Hivi bundi wengine wanakuja lini? Nimemiss water cannon salute...!! Halafu Mumbai hawaendi tena ilihali uliwaleta wateke soko la akina Ndugu ai kwenda Kliniki Apollo India
 
Mkuu acha tu niungame. Nilikurupuka. Sina business plan wala strategies za kufanya biashara za bundi niziendeshe kwa faida na weledi, naendeshwa na kiki tu ili nimfunike baba na kaka zangu wakubwa walionitangulia
Hapa nimekuelewa sana maana mda wote nilikuwa nimetoa macho najiuliza mijibundi ndo vitu gani?


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…