Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

viatu vinalipa kweli kama una mtaj hata wa m1 baada ya mwaka unaweza kuwa na mtaj mkubwa sana .me nina biashara nyigine lkn baada ya vyuma kukaza. niliweka kimeza nje ya frem nikaanza na mtaji wa elf 70 nafata moshi naleta arusha vya mtumba. kuna kiatu unanunua elfu 5 kikiwa kichafu ukiosha unauza elf 20, kwa sasa mpaka natamani nihachie frem nibaki nje maana sikosi faida elfu 20 mpaka 30 kwa siku.View attachment 1583207View attachment 1583208View attachment 1583210View attachment 1583211View attachment 1583214View attachment 1583216
mkuu kwanza hongera kwa ubunifu.
Lakin tuongee uhalisia hivi ni kweli unauza kila siku? na kila siku hiyo 20++ inaingia?
 
mkuu kwanza hongera kwa ubunifu.
Lakin tuongee uhalisia hivi ni kweli unauza kila siku? na kila siku hiyo 20++ inaingia?
Akuna biashara ya hivyo boss ipo siku atapata 2000 ipo siku atapata 20000 ipo siku atapata 40000 ipo siku akuna kabisa ayo ndio maisha ya biashara boss usiingie kwa kufikiri kila siku utapata faida tu

Ipo siku utapata hasara kubwa paka mwenyewe unashangaa mwenyewe biashara ngumu sana ili utoboe inakupasa kuwa na imani malengo na uvumilivu wa hali ya juu

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Akuna biashara ya hivyo boss ipo siku atapata 2000 ipo siku atapata 20000 ipo siku atapata 40000 ipo siku akuna kabisa ayo ndio maisha ya biashara boss usiingie kwa kufikiri kila siku utapata faida tu

Ipo siku utapata hasara kubwa paka mwenyewe unashangaa mwenyewe biashara ngumu sana ili utoboe inakupasa kuwa na imani malengo na uvumilivu wa hali ya juu

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
hapo sawa nimekuelewa mkuu..
jamaa amesema kwa siku anaingiza 20000 au 30000 nikashangaa sana
 
viatu vinalipa kweli kama una mtaj hata wa m1 baada ya mwaka unaweza kuwa na mtaj mkubwa sana .me nina biashara nyigine lkn baada ya vyuma kukaza. niliweka kimeza nje ya frem nikaanza na mtaji wa elf 70 nafata moshi naleta arusha vya mtumba. kuna kiatu unanunua elfu 5 kikiwa kichafu ukiosha unauza elf 20, kwa sasa mpaka natamani nihachie frem nibaki nje maana sikosi faida elfu 20 mpaka 30 kwa siku.View attachment 1583207View attachment 1583208View attachment 1583210View attachment 1583211View attachment 1583214View attachment 1583216
Hii comment ilitakiwa iwe uzi kabisa.
 
viatu vinalipa kweli kama una mtaj hata wa m1 baada ya mwaka unaweza kuwa na mtaj mkubwa sana .me nina biashara nyigine lkn baada ya vyuma kukaza. niliweka kimeza nje ya frem nikaanza na mtaji wa elf 70 nafata moshi naleta arusha vya mtumba. kuna kiatu unanunua elfu 5 kikiwa kichafu ukiosha unauza elf 20, kwa sasa mpaka natamani nihachie frem nibaki nje maana sikosi faida elfu 20 mpaka 30 kwa siku.View attachment 1583207View attachment 1583208View attachment 1583210View attachment 1583211View attachment 1583214View attachment 1583216
Unachukua moshi sehemu gani mkuu.
 
Biashara ya viatu nyoko sana mi nilinunua kiatu kwa chinga alianzia elfu 25 nilikua sitaki tu kununha ila ningekua na hela ningempa...akanikazia nikaishia kumpa elfu 10 nikaona nimempiga.Siku nimeenda karume kwa ishu zingine nikakuta wanafungua mabelo kucheki mzee vinauzwa elfu tatu hadi elfu tano top.

Na kiatu hichohicho ukienda makumbusho wanauza elfu 30 kudadadeki msiwadharau machinga watembeza viatu wanapiga hela mazee imagine elfu 10 mtaji pair 3 na ukiuza kwa haraka ndo unalamba elfu 30 , japo vingi wanaanzia bei ya juu akiuza elfu 10 unaona umempiga.

Sijui graduates tunafeli wapi mitaji inaishia kwenye simu na bundle insta afu tunasubiria ajira for f**ng 5 years in vain
 
Biashara ya viatu nyoko sana mi nilinunua kiatu kwa chinga alianzia elfu 25 nilikua sitaki tu kununha ila ningekua na hela ningempa...akanikazia nikaishia kumpa elfu 10 nikaona nimempiga.Siku nimeenda karume kwa ishu zingine nikakuta wanafungua mabelo kucheki mzee vinauzwa elfu tatu hadi elfu tano top.

Na kiatu hichohicho ukienda makumbusho wanauza elfu 30 kudadadeki msiwadharau machinga watembeza viatu wanapiga hela mazee imagine elfu 10 mtaji pair 3 na ukiuza kwa haraka ndo unalamba elfu 30 , japo vingi wanaanzia bei ya juu akiuza elfu 10 unaona umempiga.

Sijui graduates tunafeli wapi mitaji inaishia kwenye simu na bundle insta afu tunasubiria ajira for f**ng 5 years in vain
Umeongea kama vile ni rahisi sana mzeee
 
naomba connection ya viatu vya mtumba daressalaam wanapochana mabelo mzee.....
 
Back
Top Bottom