Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 18,021
- 24,972
Kwa sababu nisizojua, kanisa moja mjini kwetu limefungwa, na mali zake zote zinauzwa. Pamoja na vitu vingine, kanisa hilo lilikuwa linamiliki broadcasting station ya kisasa yenye 330kW Digital UHF TV (high definition 1080i 16:9) na FM Radio 100kW Class C. Bei yake inaelekea ni nzuri tu, kwani nadhani wenyewe wanataka kuachana navyo tu; kiongozi wa kanisa hilo ameshauza ndege yake ndogo Piper Seminole PA-44 kwa $250,000 ambayo ni chini ya nusu ya bei yake.
Kama uko interested na vifaa hivyo wasiliana na mimi nikuunganishe na kanisa hilo.
Nyongeza: Mitambo hii inauzwa bila Antenna.
Kama uko interested na vifaa hivyo wasiliana na mimi nikuunganishe na kanisa hilo.
Nyongeza: Mitambo hii inauzwa bila Antenna.