Bosco Ntaganda
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 710
- 288
Wadau wa hii biashara ya kua Travel Agent, naombeni msaada wenu wa mawazo!
Faida zake zimekaaje? Nini changamoto zake? Soko lake limekaaje kwa sasa?
Gharama za kuanzisha biashara hii ziko vipi?
Natanguliza shukrani
Faida zake zimekaaje? Nini changamoto zake? Soko lake limekaaje kwa sasa?
Gharama za kuanzisha biashara hii ziko vipi?
Natanguliza shukrani