Biashara ya simu

Biashara ya simu

Bhushu

Member
Joined
Sep 30, 2020
Posts
11
Reaction score
5
Habari zenu wadau.
Mimi nahitaji kufanya biashara ya simu pamoja na ear phones, cover za simu, chaja za simu.
Naomba ushaur wa hii biashara wapi naweza kupata hizi bidhaa kwa bei ya jumla, pia na changamoto za hii biashara, nipo kusini huku mwa tanzania
 
Back
Top Bottom