Cleverman324
JF-Expert Member
- Nov 17, 2018
- 362
- 563
- Thread starter
- #101
Uaiende mbali kwanza.anzia kilwa ama nyuni..na je unavyo vifaa na utaratibu wa lindi unaujua?mm mwenyewe nina kamtaji nawaza kuingiza mafia na sijawahi fika na Sina ndugu Ila naendea samaki nipeleke Lindi sijajua naanzaje