Biashara ya nguo kwa mtaji wa Tsh. milioni 1

Sorry for late reply.....za dukani utapata ila utapata mzigo mdogo...... Za mtumba zinauzika sana hasa za kina dada tena unaweza anza na za mtumba za laki 3 tu alafu laki 3 nyingine wekea viati vya kina dada.....vingi vinauzika kwa elfu 5 yani kariakoo unanunua 2500 unakuja uza 5000......

Laki 4 ibaki pembeni kama akiba na nguo ufanye pointing kuliko kununua belo, sehemu za kufanyia pointing kwa dar ni ilalaboma na karume huko nguvu yako ya kuchagua ndio itafanya upate nguo nzuri kwa bei ya kuanzia 1000 - 4000 kwa ilalaboma kama ukiwahi alfajiri....

Utaratibu wa kupata meza, unategemeana na mkoa, ila sehemu nyingi ni nguvu ya kuwahi na kujuana na majirani zako kibiashara na tozo wanalipa 2000 kwa siku hiyo ni Moro.....kwa iringa huku ni bure kabisa kwa machinga......

Ukiwa smart utatoka mapema, kupitia nguo zakike na viatu kulaza 50 itakuwa kawaida na ninauhakika katika hili....

nimekushauri upoint ili usipate maronya mengi pia uzoee deals zinaendaje ili ukizoeana na unaeona anapata mabelo mazuri na muaminifu akushike mkono ..... Changamoto zipo ila zinasolvika na ni ndogondogo sana.....

Mfano kipindi cha baridi hiki mikoako ukipeleka trench coats almaarufu kama koti za kikorea utauza sana kwa bei ya 5000 na zile ndefu mzuri 7000 hadi 8000.....
Mkuu Asante kwa ushauri
 
Ok ushaur wang kwann kwa pesa io usingeitumia yote na ukafungua duka online lets say kachukue nguo za watoto na kina dada kwa 200000 then unafanya matangazo unalipia hii inakulipa zaid na mm ndio biashara yangu ...mtu akitaka nguo unampelekea alipo ...na io pesa nyingine unaiweka huku ukiangalia upepo unaendaje ...yan ukiwa na laki 3 ..mbili mzgo na moja matangazo inalipa sana
 
Pia za mtumba zinauza na kutoka kwa uharaka hasa za akina dada kuliko za dukani......pia nilichosahau ni rika...yani Nguo za mtumba angalia sana unataka uwauzie wa rika gani usiwele nguo nyingi za wanafunzi wa sekondari utakosa pesa...wewe weka nguo za wanachuo na wadada wakubwa kiasi pesa ipo pale mkuu.....

my testimony: kipindi cha corona nilikuwa nyumbani office ilifungwa basi nikaenda dar nikapoint nguo ilala boma nilienda saa 9 usiku wakafungua saa 11 hivi nikapoint nguo nzuri sana za kike kwa 1500, 2000 skin jeans 3000 wanapofungua mabelo zingine hadi 500 blouse nzuri tu......skin jeans nlinunua kama 20 tu sikuwa na uhakika nazo ila ajabu niliuza skin jeans hadi sio vizuri kwa bei ya 6500 nikajilaumu kwanini sikuchukua skin tu....

so Skin kwa wanachuo zinauzika sana na zile track zao kama wanazovaa wasanii kama Nandy wewe ziweke humo utanishukuru badae.....

Nilishindwa endelea sababu ofisi ilifunguliwa na nikashindwa kumanage muda vizuri wa biashara na kazi. Nilitumia mtaji wa laki 330 tu including nauli
Hongera nimependa bosi ,naskia ukiamka mapema hapo ni kugombania vibaya au inakuaje
 
Ok ushaur wang kwann kwa pesa io usingeitumia yote na ukafungua duka online lets say kachukue nguo za watoto na kina dada kwa 200000 then unafanya matangazo unalipia hii inakulipa zaid na mm ndio biashara yangu ...mtu akitaka nguo unampelekea alipo ...na io pesa nyingine unaiweka huku ukiangalia upepo unaendaje ...yan ukiwa na laki 3 ..mbili mzgo na moja matangazo inalipa sana
Mkuu wewe uko Dar pia?
 
Hongera nimependa bosi ,naskia ukiamka mapema hapo ni kugombania vibaya au inakuaje
hapana eio kugombania kihivyo ni kawaida tu mnaweza kuwa watu 7 belo linakatwa ukiwahi ndio umewahi.....pia kwa uzoefu wangu wanafungua belo saa 11 hivi maana mimi nilifika saa 9 nikasubiri hadi saa 11......ila ukiwahi sana kwenye hiyo saa 11 au 11 kasoro unaweza kuuliza anaefungua nguo unazohitaji alafu unamwambia nguo zote kali unaomba akuwekee utanunua wewe ukiwa pembeni wenzio wanashangaa unaona tu anakurushia nguo.... kama ni skin, vipochi vibegi vyote niliona watu wanafanya hivyo ni njia nzuri zaidi akikuzoea mara 2 raha sana utapata nguo kali sana bila kugombania.....
 
Kugombania mgoja nielezee vizuri.....mimi mfano nilifika sehemu nikakuta tayari muuzaji mmoja amezichambua so anachukua nguo mojamoja alafu unaiwahi kwa kumwambia akurushie bei hizo koti na visweta ilikuwa ni 1500 na 2000 ila watu hatukuzidi 7......

Kwenye skin jeans nilienda muuzaji nikakuta kazungukwa na watu 5 basi akitoa suluari anainyosha juu ionekane basi mtu ukisema naomba hiyo anasitisha shughuli analurusjia usipoipenda unairudisha anatangaza kwa wengine au anaiweka pembeni.....

Kuna skin jeans zinauzwa nje kuanzia saa 3 zile zinauzwa elfu 4 na elfu 5 ni nzuri ila zile ndio mnakua watu hata 50 na wauzaji wanakaa juu pale wanakuwa kama 10 hivi kama wanavyofanya mnadani napo ukiona fasta ukisema nirushie basi wanakurushia na hakuna kugombania kihivyo ni kuwahi tu ndio maana inabidi uione nguo nzuri kwa jicho la kwanza tu ili uiombe uiangalie vizuri .....

Ukiwa unaangalia vizuri basi utapata nguo kali bila hata kugombania na kuna sehemu mzigo hawafanyi mnada wanavibanda vyao wanafungua wanazipanga huko utakuta magauni makali elfu 2000.....
Hongera nimependa bosi ,naskia ukiamka mapema hapo ni kugombania vibaya au inakuaje
 
Siku gani wanafungua au ni kila siku
hapana eio kugombania kihivyo ni kawaida tu mnaweza kuwa watu 7 belo linakatwa ukiwahi ndio umewahi.....pia kwa uzoefu wangu wanafungua belo saa 11 hivi maana mimi nilifika saa 9 nikasubiri hadi saa 11......ila ukiwahi sana kwenye hiyo saa 11 au 11 kasoro unaweza kuuliza anaefungua nguo unazohitaji alafu unamwambia nguo zote kali unaomba akuwekee utanunua wewe ukiwa pembeni wenzio wanashangaa unaona tu anakurushia nguo.... kama ni skin, vipochi vibegi vyote niliona watu wanafanya hivyo ni njia nzuri zaidi akikuzoea mara 2 raha sana utapata nguo kali sana bila kugombania.....
 
Nguo zenyewe ukiwa mchaguaji mzuri huwa hivi ni unachagua vizuri na hukai sehemu mocha unazunguka kuangalia wauzaji wengine......pia kwenye uuzaji kuwa na bei fair sio kwa sababu unangio nzuri ndio uuze bei kuuubwa nooo.... nguo uliyonunua elfu 2000 ukiuza elfu 6 sio mbaya kihivyo japo unaweza uza elfu 10 piaView attachment 1816123
IMG_20210612_122052_521.JPG
IMG_20210612_122117_337.JPG
IMG_20210612_122143_357.JPG
IMG_20210612_122156_737.JPG
IMG_20210612_122129_614.JPG
 
Kush nikuambie kitu, watu hutofautiana

Kuna akija sisi Karucee ni headache tangu wadogo.... Darasani ni noisemakers tangu nursery school.

Ila kuna wengine who are comfortable in their solitude. Hawajichanganyi not because hawataki but it's because of their nature.

Some are shy, some just can't interact with others.

So please tumuelewe. And sometimes it is better to just read and mute rather than offend people or insult them.

If you can assist her please do... It you can send her a link, go ahead. The good you do will come back to you in one way or the other.

Afu wew @Karucee wew
 
Cha kuzingatia uendane na mahitaji ya eneo lako ma wahitaji.....wanachuo unajua wanavyovaa unaweza kuwaletea nguo zote kuanzia za kwendea out hadi za kuvaa lecture room...... watu wazima magauni mazuri pia wananunua....

kwamfano kipindi hiki cha baridi kali unaweza ingiza mzigo wako wa koti za korea, ukawa unazimwaga pembeni ya vituo vikubwa kuanzia saa 10 ukauza kwa bei ya elfu 5 yale mafupi na makubwa ukauza elfu 7 kama umenunua kwa belo haitaziri laki 4 (350) ukiuza kwa bei hizo unapata mchanganyiko utauza sana na faida yake ni kubwa pia....

Pia unaweza ingiza zile pullneck sokoni kwa bei ya elfu 5 zinauzika mbaya.....na uzuri wa hizi bidhaa unaweza kuta wabush huko amekuja town anajumua karibu koti 60 hapo unampunguzia kutoka elfu 5 hadi 4000 ila faida inakuwapo.....

Au kipindi cha baridi unaweza ingiza stock za visocks virefu kwa watoto na wadada watu wazima au ukauza mizura kwa bei ya elfu 3 mmoja kama mizuri utaifurahia biashara
IMG_20210612_123500_029.JPG
IMG_20210612_123528_590.JPG
IMG_20210612_123514_521.JPG
 
sema hizo koti kuna watu wanauza hadu elfu 20 au 25 ila mimi kuna msela wamgu alifungua november akawa anauza elfu 5 na elfu 7 sasa watu wanavyojaa hapo ni hatari na belo la hizi koti sio rahisi kukuta mbovu au ronya ni kuombea ukute ndefu nyingi maana ndio zinapendwa sana.....
 
Ndio MKUU. naona wapo bize na kulijenga TAIFA.
Pia mkuu unaweza fungua frame karbu na town au ukatengeneza kwa kutumia mbao na zile nailon ndefu (nimesahau jina) ukawa unauza mtumba tu utajaza sana.....kuna jamaa angu amefungua frame karbu na town amejaza nguo za laki 7 tu na ameweka vizuri chumba cha kupimia huwa anaweza laza parefu sana maana pindi nikienda mtembelea kwa masaa 2 anapata wateja 7 hadi 10 hapo 6 wakinunua anakuwa na 30 tayari.
 
Back
Top Bottom