Cleverman324
JF-Expert Member
- Nov 17, 2018
- 362
- 561
Chambuu zipo za aina mbili..zipo aina flani ukifika machimbo waulize tu chambuu za cf..ni chupi quality sio lonya. Hizo unaweza kuuza hata chupi moja 5000 na chambuu part 2 ni mseto. Mseto ni mchanganyiko wa chupi mbalimbali kwenye dozen moja.Umekuja na msamiati Mpya Chambuu kwenye Chupi ndo zipoje na zinapatikana wapi.?
Ili kuongeza mauzo dukani kwako ni kuleta bidhaa wanazozitaka kulingana na soko lako Mkuu
Hongera kwa kuthubutu nikija mjini nitakutembelea ofcn kwako 😉